Nilishawahi kusema wavivu wote maofisini hawamtaki Lowasa maana wanajua shughuli yake hacheki na kima yy kazi kwa kwenda mbele so mnamchukia kwasababu mnataka muendelee kula bata huko maofisini watu wanafanya wanavyotaka tu hakuna wa kuwabana
Naikumbuka kasheshe yake pale DUCE 2006 lecture theatre ilijengwa kwa kasi ya umeme baada ya yy kutoa agizo. Leo maabara zinasuasua tu maagizo yanatolewa watu hawajali na hakuna hatua zinazochukuliwa dhidi yao. Tunataka mtu mwenye maamuzi tumechoka ss
Wavivu wote maofisini hawapendwi Lowasa maana mnajua shughuli yake hacheki na kima yy kazi kwa kwenda mbele so mnamchukia kwasababu mnataka muendelee kula bata huko maofisini. Nchi haiendi kila mtu ofisini ni mbabe. ss tunamtaka Lowasa aje apambane na mivivu huko ofisini. kipindi kile tu...
Yah kazi ipo kila kitu kinachomhusu Lowasa wamefunguliwa ndugu kumnunua mtu ni rushwa so kama una ushahidi inabidi ukashtaki TAKUKURU ili wakamatwe hao walionunuliwa REDET usipofanya hivyo mbeya tu huna jipya na wivu ndo unakusumbua kwa kuwa mti nia wako kafunikwa vibaya
Halafu mm nashangaa sana mwaka 2005 kikwete alitupiwa kashfa kibao na wapinzani wake ndani ya chama lkn miaka hii 10 yote ndo president wetu. So fitina kwenye siasa ni kitu cha kawaida. Waliofuatilia uchaguzi wa Nigeria, Kenya wanaelewa fitina walizofanyiwa hawa maraisi wa ss kwa hiyo mm...
Huu siyo tu umbeya bali ni upashkuna ambao hakuna mtanzania mwenye akili timamu aweza kukuelewa. Najua wavivu wote wa kazi mnamuogopa sana Lowasa maana mnajua shughuli yake hacheki na kima yy kazi kwa kwenda mbele so mnamchukia kwasababu mnataka muendelee kula bata huko maofisini. Viva Lowasa.
Mm binafsi namkubali sana huyu mtu. ss kama lengo ni tupate viongozi masikini wa kupretend sijui kama tutafika. Maana wengi ni wale wanaotaka nchi iwafanyie jambo siyo wao wataifanyia nn nchi. Ss tumechoka na umaskini kama anakuja tena rais masikini tuendelee kushare umaskini kazi ipo. Lowasa...
Na mwaka huu mtakufa kabisa kwa pressure maana kila kukicha Lowasa utafikiri yy ndo pekee mtangaza nia Ccm Humjui mnazidi kumpaisha ama kweli nimeamini mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. Lowasa ni kama Papa baharini hawa wengine vibua tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.