hama kwel umekurupuka kaa chn ufkr,maana ungeangalia taarfa ya habar ya jana ucngeongea haya unayoongea na kuadika,ungemsikiliza mbowe na lema nafkr ungeelewa ucngeandika upuuzi huu!!!!!!!
Mi mwenyewe nimemuona lakini cjamuelewa maana anaongelea tena hela ya kujikimu kwa ajili ya walimu,anashindwa kuweka wazi kwamba wabunge waschukue posho maana vikao ni moja ya kazi zao!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.