Recent content by Alexander von Humbolt

  1. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Asante kwa ushauri mzuri mkuu. Siasa ni kitu nakipenda tu. Ikolojia ni fani yangu na unaendelea kupambana kuingia mashirika/taasisi ulizopendekeza ili fani yangu pia niendelee kuitendea haki. Kama una namna ya kunisaidia au yeyote mwenye kuniwezesha pia nitashukuru sana. Kwa sisi ambao...
  2. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Sahihi kabisa mkuu, siasa ni jambo nalipenda. Kila mtu anachagua kuisaidia jamii yake kwa namna tofauti na mimi ninapendelea kwa njia hii ya siasa. Ndiyo maana naomba mwongozo kwa upande huu.
  3. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Kusaidia jamii hasa katika kutatua changamoto zao.
  4. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Noted kaka!
  5. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Asante sana kaka. Copied for action. Kwa maoni yako Chama kipi una recommend sasa baada ya maoni yako hapo juu?
  6. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Noted kaka, nachukua ushauri kama ulivyo. Asante sana!
  7. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Asante kwa ushauri wako mkuu. Nimekusoma vizuri sana. Actually siingii kwenye siasa kama kazi/ajira, japo nafikiri siasa za uongozi kiuhalisia ni ajira pia maana unalipwa ujira. Japo kwa muhusika/kiongozi ili ufanikiwe unatakiwa drive yako isiwe malipo bali kuhudumia watu. Lengo langu kuu ni...
  8. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuingia kwenye Siasa na Uongozi

    Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania........ Naamini wengi wetu tuko salama na tunaendelea kupambana na maisha. Karibuni kwenye mada tusaidiane mawazo ikiwa ni elimu kwangu mleta mada, lakini pia fundisho kwa wengi wetu tunaopenda kujishugulisha na siasa na uongozi. Mimi ni...
  9. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Salaam humu ndani!

    Asante sana ndugu, nimekaribia.
  10. Alexander von Humbolt

    JamiiForums Tanzania Salaam humu ndani!

    Habari za majukumu ndugu zangu wana jf. Nimejiunga jf kama member mpya na naona ni vyema kujitambulisha na kuomba ushirikiano wenu. Naamini penye wengi pana mengi. Niliwahi ku-readover jf miaka ya nyuma kama 2012 hivi. Baadae mihangaiko ya maisha ikanisahaulisha kabisa jf. Wakati ule sikuwa...
Back
Top Bottom