Matukio na matokeo ya mkutano wa mwisho wa hadhara katika maisha ya Mh. Lwakatare (Mb) yatakujia kuanzia kesho na siku zinazoendelea yakiambatana na historia yake ya kisiasa kuelekea kustaafu kwake siasa za ubunge mwaka huu 2020.
Andaa MB's za kutosha. Nawatakia usiku mwema.
Kutoka Ofisi ya...
Nimenuia kufanya kilimo hai, ninazo ekari 3 za ardhi kwa ajili ya mbogamboga na matunda, gharama za mbolea na dawa asili ni kubwa na upatikanaji wake ni adimu kiasi wakati kwa masoko ya ndani walaji hawajui kutofautisha, ili nimejipanga kufanya promo ya kutosha nikiamini wenye uelewa watapenda...
Nimepewa taarifa na jamaangu kuwa kuna kampuni inatoa huduma ya manunuzi ya luku na ving'amzi inaitwa Mula, nimefuata menu yao *150*78#, salio langu la M-PESA limekatwa na bado wananiambia manunuzi yameshindikana, nimepiga simu yao ya huduma kwa wateja namba 0755400006 haipokelewi na mara nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.