POLE SANA NDUGU,
MIMI NAPITIA CHANGAMOTO KAMA YAKO, TENA MIMI KUELEWA MPAKA NOONGEE NA MTU FACE TO FACE, NIKIMUANGALIA MDOMONI NA KUHUSIANISHA KILE NACHOKISIKIA, NIMETUMIA ANALOGY HEA6MACHINE ILA HAIJANISAIDIA CHOCHOTE, KIUKWELI NI CHANGAMOTO KUBWA SANA, MIMI NDO NIMEMALIZA CHUO MWAKA JANA...
ume
YESU sio nabii, yeye ni Mwana wa MUNGU, alikuta ulimwenguni Kwa umbo la kibinadamu kupitia uweza WA roho MTAKATIFU (roho WA MUNGU alimfunika Bi marium ikatokeza mimba) YESU alikuja kuuokoa ulimwengu na dhambi yaani alileta ubatizo WA ondoleo la dhambi, Kwa maana biblia inaoonesha kabisa...
MUNGU MMOJA (YESU aliyesema "anipokeaye Mimi ampokea yule aliyenituma", pia andiko linasema "kama hujamkili YESU kuwa mwokozi HUWEZI kaurithi ufalme WA mbingu, maana naye atakukataa mbele za MUNGU Baba MUNGU MKUU, na muumba WA vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana Kwa macho ya nyama*
Jaribu kuelewa, MUNGU NI MMOJA MUNGU BABA, NA NDIYE ALIYEMTUMA YESU KUJA KUHUBIRI NENO LA MUNGU HAPA DUNIANI, NA BAADA YA KUONDOKA KWA YESU MUNGU BABA AKAACHILIA ROHO MTAKATIFU AKAPATE KUISHI NDANI YETU NA KUTUONGOZA KATIKA ILE KWELI ALIYOIHUBIRI YESU. NA ROHO MTAKATIFU TUTADUMU NAYE MPAKA...
Acha kufananisha mambo ya MUNGU na Ushoga, kingine kwenye kuhabudu ni wote tunamuahabudu MUNGU ila Kwa njia tofauti, MUNGU Wa wakristo anakataza Ushoga, uasherati, wizi na Kuua nk. VILEVILE kama ilivyo Kwa MUNGU WENU. Ila kuita Binadamu makafiri kisa hawajaabudu dini YENU sio sawa kabisa, Hukumu...
Nenda kwenye point bhana, Kabla ya ujio Wa waarabu na wazungu, Africa haikuwa na ukristo, na uislamu ulikuwepo Kwa asilimia Ndogo sana Kwa mataifa ya North Africa, ila waafrika wenye asili ya ubantu walikuwa wanaabudi mizimu, na hatakama kuhabudu mizimu haikuwa sawa Kwa modern civilized society...
kuwa na dini utofauti sio kosa, mtu KUIAMINI dini yake hajakosea kitu chochote, lakini kutukana wenzako na kuwatia makafiri, ilihali wote tumezaliwa Kwa njia ILEILE sio sawa kabisa. Na kama dini Yako inakuhamru kufanya hivyo Kuna walakini kwenye ukweli WA dini hiyo.
pia usisahu kuwa ungekuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.