Recent content by ALBINO MWEUSI TII

  1. A

    Rais Samia tafadhali iheshimu Katiba maana wewe umekuwa Rais by Default kwa Katiba kuheshimiwa na kupiganiwa, ipiganie Katiba

    Mikutano haijawahi kukatazwa, kwa sab Lissu alifanya nchi nzima 2020, ACT wamefanya hivi karibuni na Heche yupo kusini huko anafanya, hapo katiba imevunjwaje?
  2. A

    Tanzania bila uraia pacha mnaibiwa wazi wazi

    Kwanini kusiwe na hadhi maalum tu kwa wale waliokana uraia lkn sheria iendelee kuwabana wageni watakaoutaka uraia wa Tanzania kwa nia ovu?
  3. A

    Uraia pacha

    Kumekuwa na malalamiko kadhaa nchini kuh uraia pacha. Kuna wanaotaka Tanzania iruhusu uraia pacha na wengine wanataka tuendelee na uraia huu single. Aidha wapo wanaotaka wale waliokana uraia wa Tanzania na kupata uraia wa nchi zingine basi wapewe hadhi maalum ili wapate zile haki ambazo...
Back
Top Bottom