Recent content by ALAN SMITH

  1. A

    Picha: Foleni ya kwenda kumuona Sheikh Ponda Hospitali ya Muhimbili

    Waislaaaam takbiir! tumuombe sheikh wetu apone kwa upesi azidi kuitangaza dini yt
  2. A

    Mwenge wa uhuru wapata ajali Dodoma

    ya mungu poa , ila na kujitakia nayo, hawautumii mwenge kama kulitangaza taifa wanautumia mwenge wapate pesa, na serikali ijaribu mwaka mmoja iseme haitengi pesa kwa ajili ya mwenge ione kama itapata mtu !!
  3. A

    Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

    inapendezaga kabisa kumuonesha mpenz wako kama umekolea ila co kilio , dume zima unlia haipendeziii, mi mpenz wangu humuonesha tu kama mmekolea na rahaa zake kwa maneno ama mguno co kilioooo!!
  4. A

    Ponda aigharimu Serikali milioni 10/-

    ukweli unadhihiri, wakosa ni wao wanamlengea ponda, tanzania ni yt sote hakuna mwenye hati miliki tusinyanyaswe waislam
Back
Top Bottom