ya mungu poa , ila na kujitakia nayo, hawautumii mwenge kama kulitangaza taifa wanautumia mwenge wapate pesa, na serikali ijaribu mwaka mmoja iseme haitengi pesa kwa ajili ya mwenge ione kama itapata mtu !!
inapendezaga kabisa kumuonesha mpenz wako kama umekolea ila co kilio , dume zima unlia haipendeziii, mi mpenz wangu humuonesha tu kama mmekolea na rahaa zake kwa maneno ama mguno co kilioooo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.