Ilikuwa moja kati ya kero za muungano sasa imepatiwa uvumbuzi kila upande ijitegemee upande wake interms of exploration , extracting and revenue collection thus hii mipaka ni vizuri ikajulikana ili kila mamlaka ijue kingo zake.
Kwa mazingira ya sasa Rais ndio mmiliki wa ardhi yote, akiona ni maamuzi ya busara kwa matumizi ya umma basi anazo nguvu kisheria kufuta milki iliopo na kupangia matumizi yanayo faa hata kama ni hati ya mkoloni au ya Sultani bado ana mamlaka nazo. Kwa hiyo huo uuzaji kutoka kwa Sultani kwenda...
Kweli alipita UDSM mwaka 1973, walikuwa drafted group ya watu watano kwenye intake yao walisomeshwa na SMZ chini ya Rais Jumbe , Komandòo akiwa katibu wa Fedha ndio aliekuwa akiidhiinisha malipo ya ada zao.
Maalim Seif, Dr. Ramadhan Mapuri, Juma Duni Haji na wengine wawili majina yamenitoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.