Nzuri, shukran kwa mada nzuri hasa kwa wale wanaopenda kunenepa unene sio mzuri sana coz una madhara mengi kuliko faida.
I hope kwa mada hii itasaidia watu kuelewa moja kati ya madhara ya unene na wenye hali hizo za unene wapite hapa kutupa kutia neno walau.
Thanks.
Shukran mkuu ila matatizo hutofautiana kiongozi yategemea na mtu imemuathiri vipi hiyo hali.
Na dawa haipo moja kwa hiyo ngoja tupate majibu toka kwa wagonjwa walioanza tiba ili tuone matokeo yamekuwaje baina ya watu waliotumia tuweze kumshkuru MUNGU kwa sababu yeye ndiye anayemfungua mtu kwa...
Kwa siku ukifanya mara moja sio mbaya japo wengine hufanya asubuhi na jioni.
Muda wa kufanya ni pale mhusika atakapopata nafasi huru.
Baada ya zoezi waruhusiwa kukojoa pale mkojo utakapokubana na sio kuulazimisha utoke japo yashauriwa kujisaidia kabla ya tiba kuanza.
Karibu Sana.
Mkuu sidhani kama nimetangaza kitu hapa ila tu nimeelekeza watu ikiwa ni kama mada elekezi wala si mada mjadala japo kumekuwa na mijadala ndani yake.
Shukran Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.