Safi!Imenyesha tumeona panapovuja.katika vita hii yameonekana madhaifu ya Ukraine kama rushwa,ufisadi na undumilakuwili wa raia wake.
Pia tumeona madhaifu ya Urusi kama ufikadi,rushwa,udikteta na tekinolojia ya kawaida ya siraha(kuzamishwa meli zao,hypersonic za kubumba) bila kusahau mbinu...
Hapa sawa wote wanapigana!Kule Ukraine wale supporters wa Urusi ndio haohao wa hamas nyie ni wanafiki.mimi nasapoti parestina people ila siyo hamas ni magaidi na supporters wao!
Mkuu unajiliwaza!Hakuwa wa kumpiga myahudi,hapa leo wote munaimba nyimbo moja(palestina wanaonewa).siku za mwanzo hamas muliwaona mashujaa(walipoua watoto,wanawake na wazee)watu kama nyie hamuitaji huruma!
Hamas ni magaidi wanatumia watu kama ngao,wanahifadhi na kutumia siraha katika makazi ya watu!Wapigwe,sagwe!Magaidi ni watu wabaya!muungwana angeanza kuwalaani hawa anayewatetea ni gaidi pia!
Mkuu haibadilishi kuwa hamas ni dhaifu na wanakufa kwa wingi pamoja na waliwaweka(poor gazans)
hiyo ni furaha bandia hamas wanapoteza miundombinu,watu na ardhi.so propaganda havitasaidia wala kukupa furaha ya kweli(amani na utulivu kwa wagaza)
IDF wanasema raia waondoke lakini hamas wanasema wabaki,sasa wakifa katika uwanja wa vita nani ataonekana gaidi.
Licha ya hayo pia wanahifadhi na kutumia siraha katika makazi ya watu nani alaumiwe!
Isitoshe wao ndio wameanzisha vita ngoja Israel wamalize!
Mkuu wewe nae unaongea kilekile akienda ground utasema anabaka,kuchoma misikiti na kuuwa watoto (rejea vita vilivyopita)
Magaidi wa hamas watabeba lawama zote kwa kile walichofanya,wanastahili kuangamia!
Propaganda hizi,badala ya kuomba amani watu huko gaza wanakufa kwa madozens,wewe unakuja na ngonjera za kujipa furaha bandia(maana najua kwa ndani unaumia na mauaji ya huko gaza na huna cha kufanya)
Ingawa mimi nimeumia na mauaji ya pande zote(japo hamas ni magaidi sina huruma nao)
Ila ila ya rusia kuzuia maji,chakula na nishati mariupol.bila kusahau kushambulia vituo vya umeme na chakula huko ukraini ni mbinu bora(unafiki ni kitu kibaya sana)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.