Recent content by Akosombo

  1. A

    Halmashauri chini ya CHADEMA zaongoza kwa rushwa

    Unauhakika kiasi gani kama halmashauri zinazoongozwa na ccm hakuna rushwa. Kabla ya CHADEMA kuongoza halmashauri hizo kuhusu rushwa ilikuwa ni kawaida maana ccm na rushwa ni sawa na ngozi na mwili haviachani. Mfano halisi ununuzi wa ndege za abiria , ujenzi wa standard gauge , airport chato...
  2. A

    Halmashauri chini ya CHADEMA zaongoza kwa rushwa

    Kumbuka utawala huu haufuati sheria watawala wanawezakufanya chochote wanavyoona inafaa. Hao madiwani unaowasema walishawahi kulalamikia kuhusu kupunguzwa posho zao na kunyang'anywa stahiki zao muhimu lkn uvccm mkasema ooh wapiga deal hao . Leo hii baadhi ya miradi wanapewa wazabuni pasipo...
  3. A

    Halmashauri chini ya CHADEMA zaongoza kwa rushwa

    Huu Uzi umeletwa kiushabiki na kada wa ccm na ndiomaana imelenga kuwachafua CHADEMA hata hivo hawatofanikiwa kufikia nia yao ovu kwa CHADEMA . Haibu kwao ccm
  4. A

    UVCCM wamvaa Kijo Bisimba; Wamtaka akatae ushabiki awe mpambanuzi

    Unaiamini zaidi Radio Tanzania (TBC radio) ? Ubongo wako unaugua chuki ww.
  5. A

    Serikali yawajibu Umoja wa Ulaya(EU) na Marekani kuhusu kutokuwepo usalama na haki za binadamu Tanzania

    Wazalendo Wa nchi hii wamepaza sauti yao kwa majirani zao kuonesha kuwa nchi yao inaelekea kugawanywa vipande mbalimbali na watu wacheche ambao ni walafi wa madaraka ambao hawapendi kukosolewa bali wao ndio wenye maamuzi yote ya kiutawala ambao pia wamepoka mamlaka ya Mungu kwa kujiita chaguo...
Back
Top Bottom