Recent content by Ako Kwaang

  1. Ako Kwaang

    Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

    Hongera. Lakini turudi kwenye hoja ya msingi, ni heshima kwa mama mkwe kuingilia ishu za kwenye ndoa ya binti yake? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Ako Kwaang

    Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

    Uzoefu ndo kila kitu. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Ako Kwaang

    Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

    Are you married? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Ako Kwaang

    Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

    Mwanamke akishaolewa mambo yoote yanayomshinda ya ndani, narudia tena, yaliyomshinda ya ndani anashtakia ukweni. Otherwise hiyo ndoa inavunjika wakati inafungwa. A man will always be a man, regardless of education or social status. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Ako Kwaang

    Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

    Ndo anachokitaka, maswali gani hayo anamuuliza mkwe wake!! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Ako Kwaang

    Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

    Ushauri wangu; muonye mkeo aache kujadili mambo yenu ya ndani na wazazi/familia yake ya zamani. Ana ishu yoyote inayowahusu, basi aipeleke nyumbani kwenu kwa kwa mama/shangazi/mama yako mdogo. Wataanza na vitu vidogo kama ujauzito baadae utapangiwa na mama mkwe siku za kumdandia mkeo, umlishe...
  7. Ako Kwaang

    Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

    Inaweza kuchukua dakika, masaa, siku, miezi hadi miaka. Na mkicheki wote mko safi tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Ako Kwaang

    Mrejesho: Pombe imenisababisha niwafukuze shemeji zangu

    Ulichokifanya kuwatimua ni sahihi kabisa, kwa kuwa walishakudharau. Hapohapo ukafanya kosa baya sana, kuwaomba msamaha eti ulikuwa tungi!!!! My friend, hakuna anaeweza kunidharau kwangu na akabaki salama. By the way, wewe ni kichwa cha familia au shingo ya familia? Na mkeo anakuheshimu kweli...
  9. Ako Kwaang

    Makamu wa Rais amjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu Khalfan Kikwete hospitali ya Muhimbili

    Did I thank you anywhere? Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  10. Ako Kwaang

    Makamu wa Rais amjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu Khalfan Kikwete hospitali ya Muhimbili

    Alishaitwa runani humu, wa Etihad Airways. Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  11. Ako Kwaang

    Makamu wa Rais amjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu Khalfan Kikwete hospitali ya Muhimbili

    Shukran mkuu. Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  12. Ako Kwaang

    Makamu wa Rais amjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu Khalfan Kikwete hospitali ya Muhimbili

    Pia sidhani kama amefikisha flying hours zinazotakiwa kumfanya arushe ndege Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  13. Ako Kwaang

    Makamu wa Rais amjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu Khalfan Kikwete hospitali ya Muhimbili

    Kimsingi sio rubani. Ni mwanafunzi wa urubani. Captain kamili anakuwa na Bars tatu mabegani Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  14. Ako Kwaang

    Mtongozo: Bora tuwe marafiki ila changamoto zako nikutatulie

    Mapenzi lazima yawe two-way traffic. Yaani mie nitoe tu wengine wafaidi?!! No way!!
  15. Ako Kwaang

    Kwa watumiaji wenzangu wa vyumba self

    Tatizo ukijibana sana usipige makombora lazima tumbo lijae gesi!!! Ni kujilipua tu, atakaekereka na akereke!!!
Back
Top Bottom