Recent content by AkiliPevu

  1. A

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    Ndenisa, hahaha, unachekesha sana kijana, hataka kiswahili changu ni cha wasiwasi sihitaji kuwa mtanzania, kiwahili kinazungumzwa mahali pengi.
  2. A

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    Ndenisa, wewe inaonakana hata huelewi chochote kabisaa, tunakuonea huruma tuu, Kwa kuelewa kwangu, Viumbe vyote vimeumbwa, mtu akivitumia ni juu yake, mbona watu wanatumia ng'ombe kufanya shughuli mbali mbali? mbona watu wanatumia farasi kufanya shughuli mbali mbali, Mbona watu wanakula nyama za...
  3. A

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    MziziMkavu, nashukuru kwa jibu, niliuliza swali hilo makusudi ili nifikie swahi hili, nimesikia kuwa jinn huusika na kilimo(kusaidia mmea kukua na kuzaa), maendeleo ya binadamu nakadhalika, Je hii ni kweli?
  4. A

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    Swali kubwa kwako kaka, naona wewe unaujuzi wa hawa viumbe, 1. Kunatofauti gani kati ya Jinn na fairytails, goblings elementals etc? 2. Kwa kuwa unaweza kufanya urafiki na Jinn, ukiwaomba msaada hao wanafaidika nini kutusaidia? 3. Jinn wanaweza kutengeneza vifaa vya technologia? kama simu, etc...
  5. A

    Jifunze sayansi ya kiafrika! (kazi kweli kweli)

    Huyu jamaa ameishia wapi? kuna mtu yeyote alijifunza atuambia kama ni-legit? au utapeli mtupu?
  6. A

    Jinsi ya kuwa mchawi

    Kwani Haja Yesu tunaweza kusema kuwa alikuwa ni Mchawi, maana alikuwa anaweza kufanya miujiza? au sio sawa hiyo?
  7. A

    Kwa wale wasiogopa majini angalieni hizi picha za majini

    Mkuu elimi hii, very extensive, naomba ni ulize umeipata wapi?
Back
Top Bottom