Huyo mzembe sana. Aendelee kuwapostia hata hizo hustles za vibaruani huko ili mkome kumhukumu. Labda useme ameuza hadi simu. Maisha yakogo hivyo tuuu. Kupanda na kushuka
Watu wa CECAFA ni miyeyusho sana. Hawako serious na biashara ya mpira kabisa. Si ajabu timu zetu za Taifa na vilabu kusuasua...yaani tunajivunia Young Africans na Makolo FC😄 kufika robo, makundi, kwny CAF competitions. Nothing more. Nchi tatu kwa pamoja wanashindwa kuandaa miundombinu kweli? Huu...
Umeimaliza kesi vizuri mnoooo. Wanajisahaulisha au hawajui kuwa Henry ameubonda mwingi enzi za ubora wa Gaucho, Zizou, Beckham, Nedved, Ronaldo, Rivaldo, Del Pierro, n.k. Enzi za soka haswaaa....sio saiv takwimu zinafunika brilliance.
Mechi zote ziliahirishwa, Simba wakaomba mechi yao ichezwe baada ya kufanya analysis na kuona faida zaidi wakiicheza kuliko kuiacha. Mimi Yanga kindakindaki hapa nawapongeza Koloz kwa walichokifanya.
Sawa. Ni jambo baya kutuhumu timu kama Yanga kutumia dawa za kuongeza nguvu kirahisi hivyo kwa zama hizi bro. Jambo baya sana, unless uwe na uhakika na hizo taarifa. Kuna vitu vingi mno vya kiufundi, kiutawala, kifedha, kijamii na hata kiimani pia ambavyo Yanga imewazidi timu nyingi hapa...
Huyo Lomalisa anayesifiwa tulikaa naye miezi kadhaa hadi kuja kueleweka na kukubalika. Ilifika hatua Kibwana Shomari akawa preferred kuliko Lomalisa. Alipokaa sawa leo ndo tunayasikia haya. Achana na mashabiki maandazi
especially from Koloz ambao mechi tano tu kwao msimu umeshaisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.