Recent content by Akatanyukwilwe

  1. A

    Katibu wa chadema kata ya Igowole ahamia ccm

    Hivi CCM ni chama gani vile! Na CHADEMA ndo nini vile?
  2. A

    Ally Salum yupo Star TV, kijana ni kada sana

    Tumsamehe bure. Tumbo lake na familia yake ndo vinasababisha haya wala si akili yake.
  3. A

    Ally Salum yupo Star TV, kijana ni kada sana

    Huyu jamaa siye yule niliyemfahamu tukiwa pale bwiru boys secondary school. Sasa hv amekuwa kama mtu asiyeelewa chochote. Eti uhuru wa uchaguzi ni kukusanyika kwenye mikutano ya kampeni. Aache kujitoa ufahamu! Kwa akili yake anaona tuna tume huru ya uchaguzi?
  4. A

    Askofu Niwemgizi amshukia Mkuu wa Mkoa wa Kagera Fabian Massawe

    Pasipo afya, chakula, maji na uhai hakuna waumini. Umeelewa mkuu.
  5. A

    MV Victoria yanusurika kuzama karibu na Kemondo Bukoba

    Hakuna ratiba ya meli siku ya jumamosi kutoka bukoba kwenda mwanza. Jitahidi kuleta habari uliyokuwa na uhakika nao.
  6. A

    Namchukia mume wangu kwa sababu amenifanya niwe malaya

    Mtafute mume wake na msimamizi wa mwanaume, kaeni wanne ongeeni. Mwisho wa siku mtapata mwafaka. Pia ukiwakutanisha kama ni wakristo wa kilutheri wakumbushe wasome ukurasa wa 562 kitabu cha Tumwabudu Mungu wetu. Wanaweza kukumbuka kitu.
  7. A

    Lowassa Arejea Dodoma huku akiwa na Masikitiko Makubwa ya kuporomoka kisiasa Kanda ya Ziwa

    Lowasa anatuhumiwa kuwa ni fisadi kwa kubase kwenye Richmond, je hamjui ya kuwa richmond anayotuhumiwa nayo lowasa ndo symbion ya sasa? Baada ya lowasa kukaa pembeni bei za umeme zishawahi kushuka zaidi ya kupanda kila mwaka? Mjadili mtu huku mkiweka wazi mnayoyajua mioyoni mwenu, acha kuwa...
  8. A

    Lowassa Arejea Dodoma huku akiwa na Masikitiko Makubwa ya kuporomoka kisiasa Kanda ya Ziwa

    '...machungu waliyoyapata kupitia huyu fisadi.' Na haya machungu watanzania wanayozidi kuyapata ni kupitia kwa nani? Mbona machungu ya sasa ni makubwa kuliko hata ya kipindi cha lowasa? Bora lowasa make alikuwa na uthubutu, ukikosea unawajibishwa huku wananchi tunaona lakin sasa hv ni kulia lia...
  9. A

    Lowassa Arejea Dodoma huku akiwa na Masikitiko Makubwa ya kuporomoka kisiasa Kanda ya Ziwa

    Mbona hii post wanaosapoti yaliyoandikwa humu ni wewe songoro na wenzako msiozidi wanne? Post inaonekana imechangiwa sana kumbe only few people ndo wanajaza server.
  10. A

    Lowassa Arejea Dodoma huku akiwa na Masikitiko Makubwa ya kuporomoka kisiasa Kanda ya Ziwa

    We Chabruma acha unafiki. Wewe si uko ccm? Serikali iliyopo madarakani si ni ya ccm? Kwa nn kama mnajua lowasa ni fisadi hamjamshitaki kwa matumizi mabaya ya madaraka kama ilivyo kwa mramba et al? Au kwa sasa mnasubiria sitta au membe au wassira ndo wakiingia ikulu wamfungulie mashtaka? Kwa...
  11. A

    Kivuko cha Magogoni chakwama

    Tunamshukuru Mungu TPA wamekipush push mpaka kimefika. Hali ni mbaya kwetu ss tunaofanya kazi kigamboni.
  12. A

    Kivuko cha Magogoni chakwama

    Muda huu niko kwenye kivuko cha magogoni toka posta kwenda kigamboni. Kivuko kimeharibika katikati ya maji. TPA sasa hv ndo wanatusaidia. Hali ni mbaya sana.
  13. A

    Hatari: Abiria wa Bukoba msipande magari ya kampuni ya Mohamed Trans, yana kunguni

    Kwa kweli usafiri wa bukoba siku hizi ni shida tupu! Mohamed trans ndo basi lililokuwa linaaminika lakn hv karibuni limekuwa ndo baya kabisaaaa. Sumry ukiingia, unaweza kuhamisha siti moja ukaipeleka sahemu nyingine(siti zinabebeka), falcon hawana time na abiria zaidi ya mizigo yao wanayoibeba...
  14. A

    Msaada:Nawahi kufika kilelen mapema ndani ya dk 10 tu

    Kama umeokoka acha uzinzi oa! We unadhani kuvuta bangi ndo utachafua ulokole wako lakini uzinzi ni halali katika maisha ya wokovu wako?
  15. A

    Kaswende (syphilis) inaweza kusababisha mwanamke kutokupata mimba?

    Asante veronica. Lakini najua hata humu ndani kuna madaktari. Alafu pia kuna watu wengine humu ndani yashawakuta hivyo wana uzoefu.
Back
Top Bottom