Habari ya jioni wanajamvi,
Naombeni msaada nahitaji visa ya matibabu Uturuki. Vitu gani hasa vinahitajika ili nisije nikakosa na pia kunaugumu kiasi gani wakupata visa katika iyo nchi?
Asanteni.
unaweza niunganisha nae nipate abc juu ya hizo biashara na wapi pakuanzaia?
nikiku pm mesej zinagoma kuja sijajua shida nini. km hutojal nisaidie namba yako ili nikuchek
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.