Wengi mnalichukulia juu juu. Pigeni hesabu za kiufundi pia. Hizi router zilizokuwa designed kwa matumizi ya nyumbani nyingi haziendi zaidi ya 30m. Na kama eneo lina vizuizi kama kuta au miti inaweza isifike hata 15m ukakutana na dead zone.
Pia kuna changamoto ya ukomo wa idadi ya watumiaji...
Sounds ideal kimaneno. Kwa ground mchezo upo tofauti. Wengi wa mikusanyiko tunatumia wadau wenye wifi router. Kwa buku wanatupa unlimited access. Kama unanunua 3000gb kwa 400k ukiwa na 200 users wakitumia 15gb kila mmoja zimeisha.
Haimake business sense.
Alafu uanze kushindana na hao wa router...
SURA YA 2 - MTEJA V.I.P
Baada ya kufuatilia, Bilal alikuja kugundua kwamba baba yao alipoteza mawasiliano na mama yao baada ya kuondoka Tanzania kurudi nyumbani kwao uarabuni mwaka 2003. Alikuja Tanzania kwa ajili ya kutafuta fursa za biashara kabla ya kukutana na mama yao wakina Bilal na...
SURA YA 1 - SAPRAIZ YA NGUVU
likua maajira ya saa tatu usiku kwenye jengo la gorofa la hostel ya wanaume katika chuo kikuu cha Mbezi Beach.
“Bilal, nenda gorofa ya kwanza chumba namba mia moja na nne uniletee laptop yangu!”
Kijana mwenye kiduku aliamrisha baada ya kufungua mlango wa chumba cha...
Lakini shida ni kwamba kazi ukishaiweka hivyo kila mtu anakwambia ni yake. Unakuta stori moja ipo magroup 10. Bado chances za mtunzi kufaidika zinakua ndogo sana.
Habari wakuu. Ni swali tu nimejiuliza hili. Kuna kazi nyingi sana za waandishi ambazo zipo tu hata huku JF, tunazisoma bila ya wao kufaidika chochote. Natafuta lengo la kufanya hivo lakini kila ninalowaza halileti mantiki, lenye mantiki ni labda wanatoa sadaka kwa namna hii. Kwa wale waandishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.