Recent content by Ajm

  1. A

    Abdul Nondo afunguka kuhusu bodi ya mikopo

    Sorry, kabla hatujaingia ktk mjadala kama huu, tujiulize je serikali inapotoa pesa kama hii ya mkopo chanzo cha serikali ni nini?, jibu ni kodi. Kama ni kodi je mtoto wa private school mzazi wake halipi kodi?.
  2. A

    Kuna tofauti gani kati ya picha hizi mbili?

    Saa u Saa ukutani zinaonyesha muda tofauti. Hiyo ndo tofauti.
  3. A

    Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

    Una masikhara na waha wewe.
  4. A

    Chemsha bongo

    36.
  5. A

    Mikutano ya Lowassa Ngorongoro, Kilindi, Handeni na Tanga Mjini - Oktoba 21, 2015

    Wamefanya hayo maigizo. Je kuna laziada?.
  6. A

    Great thinkers only!!

    Jibu ni 15
  7. A

    Hapa mkoa Gani

    Singida
  8. A

    Polisi wazifanyie kazi tuhuma za Mchange dhidi ya viongozi wa CHADEMA

    Tunahamishwa nje ya mada, suala la katiba mpya linawekwa pembeni na story za mipasho. Hii ni kuipumzisha serikali na hoja za msingi wanazotakiwa kuzitolea maelezo ya kina.
  9. A

    Ukweli Kuhusu Bunge Maalum la Katiba

    Mbona wewe unataka serikali 2 kwa nini?.
  10. A

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 22 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

    Kwamba rasimu inaweza kubaliwa ama kukataliwa, je yupi anayekubali ama kukataa hiyo rasimu wananchi ama wao wajumbe?.
  11. A

    Gazeti Mwananchi na vita 'Udini' katka Bunge Maalum la Katiba

    Je kuna sheria katika nchi hii inayopanga kuwa gazeti fulani leo likiandika habari za padri kesho liandike habari za shekh ama serikali?. kama hakuna sioni kuna dhambi gani wao kuanduka juu ya hizo habari, pengine ndo zinalipa.
  12. A

    Kiafrika zaidi

    god must be crayz.
  13. A

    Atumia Dola 10,000 Kufanya Upasuaji wa Kujigeuza Shetani

    Nafikiri alisha kutana nae, si bure.
  14. A

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Kwa mipasho hii ninayoina haeleweki, kwano hajajibu hoja ja warioba kwa fact.
Back
Top Bottom