Recent content by Aizna

  1. Aizna

    Panya road Wametikisa huko Mbagala Saku

    Badilisheni katiba chap chap na muweke sheria anayekamtwa ni panya road achinjwe chap tu .. alaf uone kama watajipitisha mitaani
  2. Aizna

    Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

    Hii nchi hatufati sheria ya kiislam - kuweni waelewa.. tangu hapo mwanzo mtoto anapelekwa kuanzishwa darasa la kwanza anafundishwa kuhusu utawala anateuliea awe monitor au monitress= kifupi tu anafundishwa uongozi vipi! Ataweza kuongoza wengine na ndio mfumo uliopo kwenye vyama vyote ni uongozi...
  3. Aizna

    Wanawake kuweni na huruma, mchumba hasomeshwi

    Kama mna chupi ya huyo binti ambaye alishawahi kuivaa na haijawahi kufuliwa tangu haivue “ nitafuteni
  4. Aizna

    Namtaka mwanamke wa kuoa, mwenye akili timamu

    Kuwa makini mitandaoni humu “ usije ukaoa mwanaume mwenzako
  5. Aizna

    Sijui ameona nina kitu gani ambacho mme wake hana na mimi simuhitaji tena

    [emoji23] Asante mkuu .. pesa ntaizungusha lakini kuhusu kumpa huduma hapana mkuu.. sitoweza ameshakuwa katika ndoa hakuna kitu na heshimu kama ndoa mkuu .. ukitoa vitu vingine vinavyoheshimiwa sana
  6. Aizna

    Sijui ameona nina kitu gani ambacho mme wake hana na mimi simuhitaji tena

    Mimi mwenyewe nilikuaga nampaga pesa alivyokuwaga mpenzi wangu nakumbuka hakunirudishiaga- mkuu kawaida tu
  7. Aizna

    Muda sahihi wa kudumu kwenye tendo la ndoa

    Tatizo ni moja tu Dhakari/mashine ya mwanaume uwa inasimama yaani Ina dinda wakati wa tendo Sasa tatzo kwa wanawake wao hawadindi/hawasimami sasa icho ndio kikwazo na bado wanataka haki sawa.. Na wao wadinde/wasimamishe haiwezekani wanatutegea sisi tudinde waowasidinde halafu wanatuambia...
  8. Aizna

    Tahadhari kwa wazazi wa watoto wa Panya Road, nina bastola

    Watu hawana kitu wanazidi kuwachanganya
  9. Aizna

    Kwa tuliopitia machozi, jasho na damu katika ukuaji wetu

    Pole sana mkuu sina cha kusema.. maana nawapenda wazazi wangu hatari naona ushahuri wangu kama ntawakandamiza wazazi wangu.. M/Mungu atukubali hivyo hivyo tu InshAAllah
  10. Aizna

    Favourite yangu ni watu Gym watu walojazia na wadada wanaojielewa

    Na hiyo inakuwa haiwezekanagi duniani yaani mtu awe mtu wa gym yaani yupo sex na et? Awe mtu wa harakati na kipato kizuri haiwezekanagi.. Ukikuta watu wa gym wanakuwa watu wa kutia huruma tu vizunga vingi na wengi wao marioo wa town.. Ila watu wa kazi na harakati nyingi na kipato kizuri...
  11. Aizna

    Tahadhari kwa wazazi wa watoto wa Panya Road, nina bastola

    Sawia “ wanawatumikisha tu wengine ni watoto wadogo kabsa
Back
Top Bottom