Recent content by AishaaaSalim

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mteja azimia NMB Buzuruga, ni baada ya kukaa kwenye foleni masaa manne

    Huu ni uzushi kabisa. Hakuna mteja alieanguka. Kuna mama mmoja ni teller alipata changamoto ya kiafya akaenda kupumzika hivyo wahudumu wakabaki wawili jambo lililopelekea foleni. Tuache kuzungumza vitu tusivyovifahamu wanajamvi
  2. A

    JamiiForums Tanzania NMB tuoneeni huruma, kiwango mnachokata baada ya kuomba risiti ni sh10,000 -- ni kubwa mno

    Hii taarifa nna mashaka nayo. Makato ya kutoa pesa ATM za NMB hayazidi 1,500. Taarifa za makato ya huduma zinapatikana kwenye tovuti yao kupitia link hii; StackPath
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mama aibiwa mafao yake yote NMB Kahama

    Hizi issue huwa nazisikia sana zikiwatokea wazee wetu. Jamani tuweni makini, usikubali kumpa mtu simu yako akufanyie usajili wa nmb Mkononi au kumpatia mtu password yako.. Ni bora mtu uingie tu ndani ya tawi maafisa wa benki wakusaidie kujisajili. Pole sana kwa mama yetu naamini vyombo vya...
Back
Top Bottom