Mteja azimia NMB Buzuruga, ni baada ya kukaa kwenye foleni masaa manne

Hivi unaelewa mpaka mtu anaomba MasterCard anakuwa anataka ya nini?
MAELEZO WENGI WANAO OPT KUPATA VISA AU MASTERCARD SIYO WAUZA DAGAA KAMA WEWE HAPO MWANZA WAO WANATAKA HUDUMA HIZI

inaweza kukufanya u link na online payments /PayPal/purchases

unaweza lipa Kwa credit/ Debit card whatever Kwa Ku swipe card au Ku weka kwa point of sale machines (P.O.S)

inakuwezesha Ku access huduma za benk husika kwa ATM za benk nyinginezo zenye u shirika na MasterCard

hivo CRDB ukipewa Card hiyo unakuwa umejaza automatic form ya kujiunga na huduma hizo Lakin hawa NMB majanga wanakwambia kila kitu sawa Lakin ukitaka kuitumia inakwambia (Invalid selected services contact your issuing bank) Kwahiyo unaniita mshamba unaweza kuta we ndo mshamba hata nachoandika uelewi upo upo tu!!! Jaribu kwanza kuangalia una temper na nani!!!! Do not temper with barcodes eeee shwain

Am a professional banker pia nimekaa Operations kwa Miaka zaidi ya 8 kabla ya kadi za kileo hadi kadi za kileo hapo awali zikaanza kuingia !! Nimekaa kitengo cha Cards pia !!! Issuing cards !!! Activation and de activation !!! Amount limit setting withdrawal per day Kwa cards nimeziset sana na naweza hata Ku extend kiasi isiwe na limit kipindi hicho!!! Activation of online payment kwenye cards za wateja pia nimefanya najua!! Nimefanya pia Swift issues on money transfer na bank to bank settlement TANZANIA INTERBANK SETTLEMENT SYSTEM (TISS) so unaniitaje mshamba

Britanicca
Kausha Mzee baba
 
Ila wiki iliyopita NMB tawi la Airport wamenihudumia vzr sana wamenipokea chap, wamenisikiliza shida yangu within 15 minutes shida yangu imeisha.
Ni wachangamfu sana hili tawi.
Hongera zao
 
Hata mabeberu weusi Equity wazuri sana
Tatizo la EQUITY nao ni Delaying katika process za kupata mkopo.

Utakamilisha requirements zote ila inachukua muda sana kudeposit cash kwny A/C ya mkopaji.

Kwa Kenya wapo faster sana sijui kwa hapa wanafeli wapi.
 
Katika hali isiyo ya kawaida mgonjwa mmoja aliyekuwa akitaka kutoa hela kwa ajili ya matibabu alijikuta akizimia baada ya kukaa foleni kwa muda mrefu.

Katika benki ya NMB iliyopo Buzuruga plaza, yenye madirisha matano ya tellers, ni madirisha mawili tu yalikuwa yakifanya kazi, na katika madirisha hayo mawili dirisha moja lilimuhudumia mteja mmoja kwa zaidi ya masaa mawili huku dirisha moja lililobaki lilifungwa kuanzia majira ya saa 7 mpaka mishale ya kuelekea saa 9 na muhudumu huyo alisema ameenda kupata lunch nzito.

Kwa mbali niliwasikia mateller hao wakilalamika udogo wa mishahara ndio chanzo cha kufanya kazi kwa kusua sua.

Natoa ombi kwa mtu yoyote anayetaka kutumia NMB ajaribu matawi mengine, asije kusema hakuambiwa.

NMB Buzuruga ina watu wengi wa usafi na ulinzi kuliko wafanyakazi wa benki mpaka mmtu anijiuliza hivi hapa G4S au NMB?

Ili kupunguza matumizi inabidi NMB wapange jengo dogo kuendana na idadi ya mateller walionao, labda wafikirie kuchukua fremu hata Buzurga stendi- maana serikali nayo inasubiri gawio lake.
Daah, umewachafua vya kutosha aise..kweli wewe ni msaga sumu!
 
...kwamba branch ikifikia hiyo Limit haihudumii tena wateja wengine ama?? Fafanu Mkuu...
Hukunielewa, nilimanisha huduma za NMB mkononi au mawakala, wanalimit ya kumtolea mteja pesa kwa siku kama zilivyo ATM, tofauti ni kuwa kwa wakala kiasi kimeongezwa kidogo ukicompare na ATM. Hata hizo digital channel pia zin limit tofauti na ukiends branch moja kwa moja
 
Katika hali isiyo ya kawaida mgonjwa mmoja aliyekuwa akitaka kutoa hela kwa ajili ya matibabu alijikuta akizimia baada ya kukaa foleni kwa muda mrefu.

Katika benki ya NMB iliyopo Buzuruga plaza, yenye madirisha matano ya tellers, ni madirisha mawili tu yalikuwa yakifanya kazi, na katika madirisha hayo mawili dirisha moja lilimuhudumia mteja mmoja kwa zaidi ya masaa mawili huku dirisha moja lililobaki lilifungwa kuanzia majira ya saa 7 mpaka mishale ya kuelekea saa 9 na muhudumu huyo alisema ameenda kupata lunch nzito.

Kwa mbali niliwasikia mateller hao wakilalamika udogo wa mishahara ndio chanzo cha kufanya kazi kwa kusua sua.

Natoa ombi kwa mtu yoyote anayetaka kutumia NMB ajaribu matawi mengine, asije kusema hakuambiwa.

NMB Buzuruga ina watu wengi wa usafi na ulinzi kuliko wafanyakazi wa benki mpaka mmtu anijiuliza hivi hapa G4S au NMB?

Ili kupunguza matumizi inabidi NMB wapange jengo dogo kuendana na idadi ya mateller walionao, labda wafikirie kuchukua fremu hata Buzurga stendi- maana serikali nayo inasubiri gawio lake.
Katika hali isiyo ya kawaida mgonjwa mmoja aliyekuwa akitaka kutoa hela kwa ajili ya matibabu alijikuta akizimia baada ya kukaa foleni kwa muda mrefu.

Katika benki ya NMB iliyopo Buzuruga plaza, yenye madirisha matano ya tellers, ni madirisha mawili tu yalikuwa yakifanya kazi, na katika madirisha hayo mawili dirisha moja lilimuhudumia mteja mmoja kwa zaidi ya masaa mawili huku dirisha moja lililobaki lilifungwa kuanzia majira ya saa 7 mpaka mishale ya kuelekea saa 9 na muhudumu huyo alisema ameenda kupata lunch nzito.

Kwa mbali niliwasikia mateller hao wakilalamika udogo wa mishahara ndio chanzo cha kufanya kazi kwa kusua sua.

Natoa ombi kwa mtu yoyote anayetaka kutumia NMB ajaribu matawi mengine, asije kusema hakuambiwa.

NMB Buzuruga ina watu wengi wa usafi na ulinzi kuliko wafanyakazi wa benki mpaka mmtu anijiuliza hivi hapa G4S au NMB?

Ili kupunguza matumizi inabidi NMB wapange jengo dogo kuendana na idadi ya mateller walionao, labda wafikirie kuchukua fremu hata Buzurga stendi- maana serikali nayo inasubiri gawio lake.
Huu ni uzushi kabisa. Hakuna mteja alieanguka. Kuna mama mmoja ni teller alipata changamoto ya kiafya akaenda kupumzika hivyo wahudumu wakabaki wawili jambo lililopelekea foleni. Tuache kuzungumza vitu tusivyovifahamu wanajamvi
 
Tatizo la EQUITY nao ni Delaying katika process za kupata mkopo.

Utakamilisha requirements zote ila inachukua muda sana kudeposit cash kwny A/C ya mkopaji.

Kwa Kenya wapo faster sana sijui kwa hapa wanafeli wapi.
Equity Bank walikuwa wanatoa mikopo kwa haraka bila usumbufu, mwanzoni wakati wanaingia. Lakini baada ya kujaza watumishi wazalendo wa kibongo, mambo yamebadilika sana! Huduma duni kabisa wanatoa, sawa tu na benki zingine za kibongo!
 
Back
Top Bottom