Recent content by aise

  1. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Lugha ya wanyama ikoje mkuu
  2. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    🤣🤣 Unaota vipi unafukua fukua mkuu 🤣 Ila swala la mwili kuvimba au kuwasha baada ya kula vyakula ni kawaida Kwa watu wengi, mwingine akila nyama ya mbuzi anavimba, kwahiyo shida siyo nguruwe. Mimi Kuna kipindi nilivimba Sana baada ya kula mayai nikayachukia Sana
  3. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Mimi pia nimekulia kwenye familia za madhehebu tofauti, Kipindi Fulani nilikuwa Kwa wasabato, pale kitimoto Ilivyokuwa inazungumzwa mpaka unaogopa. Sifa zote mbaya anapewa nguruwe, mpaka nikawa naogopa Sana. Nikiona au kusikia mtu Fulani anakula kitimoto basi roho inakereka Sana nahisi...
  4. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Acha kuleta taharuki mtandaoni mkuu 🤣 Kitimoto Hana shida labda uilete wewe
  5. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Acha kutisha watu mkuu 🤣
  6. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Haha acha usenge mkuu. Kitimoto imekuketea shida Gani
  7. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Kaka umewahi kula kitimoto
  8. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Samaki Fulani hivi ukimpata na ugali wa Dona basi dunia yote unaiona Iko mfukoni mwako
  9. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Nakubaliana na wewe, kumkuta msabato mlevi ngumu Sana, ni kama hamna.
  10. aise

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Umepotea binti, rudi kundini.
  11. aise

    JamiiForums Tanzania Mwanangu kindege🤔

    Umewahi kupewa onyo kabla ya ban?
  12. aise

    JamiiForums Tanzania Mwanangu kindege🤔

    Khemenei 🤣
  13. aise

    JamiiForums Tanzania Mwanangu kindege🤔

    Alifanya nini
  14. aise

    JamiiForums Tanzania Kwa lugha nyepesi Geita yote chini ya ardhi ina dhahabu

    Kule nilienda nikiwa mdogo wa miaka 12 hivi tu mkuu, nilikaa kama mwaka mmoja hivi. Isitoshe kule tulienda watoto kama 6 hivi tukitokea mwanza, Kuna mwenzetu yeye alikuwa mkubwa kwetu kama 15 years hivi ndiyo alisema twende geita. Kabla yake tulikuwa mwanza tunaokota vyumba chakavu, Kwa ufupi...
Back
Top Bottom