Binafsi napitia magumu na dhiki tangu utotoni mwangu!
Sijaona msaada wa huyo anayeitwa Mungu.
Maisha yagu hayana tofauti na wafia dini wote tunakula moto.
Kinyume chake pia Kuna watu ni wafia dini Wana maisha mazuri Sana lakini pia Kuna watu wasiokuwa wa kidini wanakula maisha kuliko wafia...
Majanga na Maafa ya asili au hata yasiyo ya asili hutokea Kila mwaka na kuua maelfu ya watu Duniani kote.
Siyo kwamba kisa msikiti umechomwa Huko Nepal ndiyo maafa hayo yametokea,
ni majanga ya asili tu ambayo hutokee Kila mwaka Duniani kote.
Kazi imepitia changamoto hii acha kabisa mkuu.
Picha linaanza kwenye manunuzi ya kiwanja vipimo vilikosewa karibia mita 5 nzima.
Tumeonyeshwa mwisho wa kiwanja tukaacha mita 1 na nusu kama kawaida tukajenga, anakuja jirani anasema tumezidi kwenye kiwanja chake.
Yakaletwa makaratasi pale kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.