Recent content by aise

  1. aise

    JamiiForums Tanzania Free tips daily 1.50 odds and 2 odds

    Kazi ipo mkuu
  2. aise

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Shida yake anapenda sifa. Mungu ni mpenda sifa, anapenda kusifiwwa
  3. aise

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Binafsi napitia magumu na dhiki tangu utotoni mwangu! Sijaona msaada wa huyo anayeitwa Mungu. Maisha yagu hayana tofauti na wafia dini wote tunakula moto. Kinyume chake pia Kuna watu ni wafia dini Wana maisha mazuri Sana lakini pia Kuna watu wasiokuwa wa kidini wanakula maisha kuliko wafia...
  4. aise

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Kwa ufupi akijisikia
  5. aise

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Hoja ianzie hapa
  6. aise

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Majanga na Maafa ya asili au hata yasiyo ya asili hutokea Kila mwaka na kuua maelfu ya watu Duniani kote. Siyo kwamba kisa msikiti umechomwa Huko Nepal ndiyo maafa hayo yametokea, ni majanga ya asili tu ambayo hutokee Kila mwaka Duniani kote.
  7. aise

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufika ukweni nilichokiona

    Kashai ja mambo yenu hayo
  8. aise

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufika ukweni nilichokiona

    Fresh mwanangu 🤣
  9. aise

    JamiiForums Tanzania Kilichobaki Sasa nipate mke nioe

    Maandalizi lazima mkuu mafuriko mpaka yafike hapo juu siyo Leo Wala kesho
  10. aise

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufika ukweni nilichokiona

    Sawa usikae mbali namba Yako ni ile ile au umebadilisha
  11. aise

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufika ukweni nilichokiona

    Haukusema mapema Bwashee ningekuja kula mtori
  12. aise

    JamiiForums Tanzania Mnao ishi mabondeni na vichochoroni kuweni makini pia

    Kile kitanda Cha kamba ni bei kubwa sana mkuu sijui kama ataweza gharama 🤣
  13. aise

    JamiiForums Tanzania Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    Kazi imepitia changamoto hii acha kabisa mkuu. Picha linaanza kwenye manunuzi ya kiwanja vipimo vilikosewa karibia mita 5 nzima. Tumeonyeshwa mwisho wa kiwanja tukaacha mita 1 na nusu kama kawaida tukajenga, anakuja jirani anasema tumezidi kwenye kiwanja chake. Yakaletwa makaratasi pale kweli...
  14. aise

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufika ukweni nilichokiona

    Hapo migomba imewekewa uzazi wa mpango. Yaani hakuna kuzaa nje ya box
Back
Top Bottom