Recent content by aise

  1. aise

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Spika Zungu anatumia madaraka vibaya, amkalisha chini Ado kuzima sauti ya wananchi

    Sijui ni mambo mengi au vipi mpaka sikujua kama Zungu ni spika wa bunge sasa 🤔
  2. aise

    JamiiForums Tanzania Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    Setting au setup wazungu nisaidieni lugha sahihi
  3. aise

    JamiiForums Tanzania Najenga chemba nzuri za kisasa kwa bei rafiki

    Kisima Cha maji
  4. aise

    JamiiForums Tanzania Najenga chemba nzuri za kisasa kwa bei rafiki

  5. aise

    JamiiForums Tanzania Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    Raf floor
  6. aise

    JamiiForums Tanzania Wolper: Katika hili, namwombea msamaha Madam Rita, hakuwa na nia ya kumdhalilisha mtu, hakuwa sawa

    Ni mhaya mmoja hivi mshangazi anaitwa Madam Ritha
  7. aise

    JamiiForums Tanzania Wolper: Katika hili, namwombea msamaha Madam Rita, hakuwa na nia ya kumdhalilisha mtu, hakuwa sawa

    Ukitaka kujua Media zote bongo ni media uchwara angalia matukio ya October 29 linganisha na hili la Madam Ritha linapewa uzito ila October walificha pumbu
  8. aise

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Nyumba ya Chini Kua Ghorofa kwa Kuongeza Nguzo na Tofali za Kulaza?

    Vunja hivyo vyumba viwili unapotaka kuweka ghorofa, weka structure ya ghorofa. Simple tu mkuu.
  9. aise

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    Nguruwe pori mmoja hafiki hata kilo 90, sembuse nusu tanj
  10. aise

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    Unakubali kwamba alibeba nusu tani kwenye kibaiskeli?
  11. aise

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    Nusu tani ameweza vipi kuibeba kwenye baiskeli
  12. aise

    JamiiForums Tanzania Kitasa kama hiki nitakipata wapi kwa DAR?

    Ilala Gerezani uhakika 100% Japo hata mtaani unaweza kubahatisha
  13. aise

    JamiiForums Tanzania Najenga chemba nzuri za kisasa kwa bei rafiki

  14. aise

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya Mijadala JamiiForums: Zana Mpya za Akili Unde (AI) zinakuja Wikendi hii!

    Jukwaa la wakubwa linakuja? Asili yetu tunawaza ngono mkuu kama haujaweka. Maudhui hayo sioni kama Kuna jipya
  15. aise

    JamiiForums Tanzania Msituletee utapeli wa kutubebesha marouter mpeni mtu unlimited kwenye simu yake

    Ukiondoka nyumbani wewe utatumia internet Gani huko uendako. Au haujafikiria kuwa hata wewe unatoka nyumbani
Back
Top Bottom