Recent content by aise

  1. aise

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Basi nikuombee kazi Emirates airlines 🤣 siyo Kwa tabasamu Hilo 🤣
  2. aise

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Nataka nikuombee kazi hapo ukamsaidie kuuza chakula umwage tabasamu uwe mfano Kwa wengine
  3. aise

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Yuko wapi tumpe biashara zetu
  4. aise

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Binafsi sehemu ninayoenda kula chakula napita migahawa karibu 6 ambayo Iko jirani yangu kabisa.
  5. aise

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Yeah tuko pamoja mkuu. Kutokujua ulimwengu umetoka wapi Haina maana kwamba umetoka au umeletwa na Mungu. Kwa sababu kimantiki uwepo wa Mungu ni ngumu.
  6. aise

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Mimi Niko 100 Mungu hayupo 🤣 Mazingira ndiyo yanaamua maisha yetu na siyo Mungu au malaika.
  7. aise

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Yaani unathibitisha uwepo wa Mungu Kwa kutumia Biblia 🤣 Na Mimi nikija na uthibitisho wa Uwepo wa Spiderman Kwa kutumia vitabu vya hadithi za spiderman utakubali kwamba spiderman yupo kweli
  8. aise

    Natafuta kifaa cha kutengeza hatch kama hii

    Hakika usilolijua! Hapo ni plywood tu mkuu, mbao Moja ya 2x2, misumari ya board kama robo tu. Mirunda kadhaa na mbao za kubana pembeni kazi imeisha.
  9. aise

    Najenga chemba nzuri za kisasa kwa bei rafiki

    Mvua usinyeshe leo
  10. aise

    Wakuu hii imekaaje?

    Hata mimi Niko na wallet mbili zimejaa noti na vitambulisho na Wala sijitangazi
  11. aise

    Biashara gani mtu anaweza kufanya kwa mtaji wa 10m?

    Kila mtu atoe ushauri wake tusiingiliane kwenye uhuru wa kutoa maoni! Jenga vyumba vidogo vidogo vitano tafuta wahaya waweke hapo Kila siku 20,000x5=100,000
Back
Top Bottom