Hapo umeongea point...tsh 8billion nisawa na 400m za kenya..hio pesa unaeza kununua magari matatu makubwa...mbona jaguar anamiliki kampuni ya kuuza magari na pia anamiliki ndege...jaguar ndo mwanabiashara halisi katika wasanii east africa...kama diamond anamiliki hio pesa na anatumia gari moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.