Recent content by AirCON

  1. A

    Undani kuhusu MCC, wazalendo someni na muelewe..

    SABABU KUBWA ZILIZOIFANYA SERIKALI KUJITOA KWENYE MCC-2. Kilichofika nyuma ya MCC-2 ni zaidi ya wengi wetu tunavyooaminishwa. Kwa kifupi Serikali ndo imekataa masharti magumu yaliyo kwenye Mkataba wa Phase tu. Miongoni mwa Masharti hayo ni Pamoja na TANESCO kujitoa kwenye uzalishji Umeme na...
  2. A

    Maafisa wa Kenya, akiwemo Katibu Mkuu wa Nishati wadakwa bandari ya Tanga

    sio tumeshindwa sema ww ndiye uliyeshindwa.. ww ni mkata tamaa mkubwa thats why you are not in power. tuache wapambanaji tupambane ww uliyeshindwa kaa kando fanya mambo mengine. usipoteze muda kuandika hapa maana umeshasema ungekuwa kwenye power usingepoteza muda wako
  3. A

    Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

    Hahahahaha... Umeishiwa hoja
  4. A

    Dr. Dau bado anatumia magari ya NSSF

    Best comment of the day
  5. A

    Muuza madawa maarufu, Halili akamatwa akipokea 'mzigo'

    Sasa kitu gani ambacho hakijaeleweka hapo? Maana naona kila mtu anasema mada hakijaeleweka
  6. A

    Rais Magufuli amdhalilisha Meya wa UKAWA Manispaa ya Ilala

    ACHA SIASA FANYA KAZI, TATIZO LENU WANASIASA MNAANGALIA MANENO MANENO TU HAMNA LOLOTE LA MAANA LILILOSEMWA HAPO LA KUKUFANYA ULALAMIKE HIVYO.. CRYBABE
  7. A

    Mwantumu Mahiza alistahili kuteuliwa Mkuu wa Mkoa

    maneno yako yanaonesha kabisa kwamba ni chuki binafsi
Back
Top Bottom