Recent content by Ailinda1966

  1. A

    Mkeo au mpenzi wako unampendea nini?

    Mwanamke kumpenda mwanamme ni kiherehere tu na kutokujiamini. Kazi ya kupenda kapewa mwanamme. Mwanamke kazi yake ni kumtii na kumheshimu mwenza wake.
  2. A

    Mkeo au mpenzi wako unampendea nini?

    Si kasema hapo ndio kwanza anaingia kwenye mapenzi. Student bado[emoji1787] hajajua kipi akiandike wapi. Msamehe, akikua ataacha
  3. A

    Kwa hali ilivyo sasa unamuachia mkeo Tsh ngapi asubuhi?

    Royco ya nini na shida hizi. Kikubwa kushiba Nyanya 200 Kitunguu 200 Matuta 500 Mchicha 1000
  4. A

    Mke wa Dkt. Mwaka asema yuko tayari kumuachia Dkt. Mwaka kila kitu mradi apate amani

    Kwani tatizo ni nini? Akiachwa haruhusiwi kuolewa tena
Back
Top Bottom