Kuna kitu napenda nikueleweshe Platozoom.
Hakuna kitu kinaitwa “muongozo” wa BAKWATA kwa Waislamu ila kuna muongozo wa BAKWATA kwa serikali.
Kazi yao lile baraza ni kuwaambia serikali sikukuu ni lini na ku verify ndoa za waislamu kwa kutoa vyeti vinavyojulikana serikalini
Bahati waliyonayo...
Hakuna jambo baya kama kuishi maisha ya uongo., unafika mbali while ilibidi uwe Kariakoo sokoni na mkokoteni wako au uwepo Rwanda na waasi wenzako msituni.
Poor Tanzania
When a person is right then hakuna sababu ya kutomkubali.., mpenda haki hata kama yupo CCM au CCJ then ni jukumu lake morally kussuport jambo la kweli
Ni mtu mgumu wa kuelewa ndio ataweza ku question why fulani anaungwa mkono na watu wengine?? What if he is right?? Have u asked tht yourself??
All these bullshits are simply because Zitto wants to run for party's chairmanship??
Lema You suck na orthodox methods anazokutumia nazo mwenyekiti wako
Endelea na MIPASHO coz you belong to mzee Yusufu's class
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.