Jf raha kwel kwel kwan kuna vichaa wengi sana wasioelewa n nini kinaendelea. Kama ww ni mwanachuo ushaukwaa usiache na mwenzako aupate mpe reality ya maisha pindi atakapokuwa chuoni ili azid kujilinda, ukijua kuzaa ujue kutoa ushauri na kulea pia same applied ukiwa msomi ujue pia kutoa maneno ya...
KUNA LIST YA PROGRAMS HUONYESHWA BAADA YA KUCLICK ADMISSION LETTER. SELECT YOUR PROGRAME THEN DOWNLOAD UTAPATA MAELEZO. M MWENYEWE NME2MIA NJIA HII NA NIMEPATA MAELEZO unique
Bima ninayo2mia inajina la ubin ambalo hupatkana kwenye chet changu cha kuzaliwa ingawa cltumii kama official name ktk career yangu. Ila bima n ya kwangu niliyo andaliwa na mtu aliyekuwa mbali namimi. Je hili haliwezi kuwa tatizo ktk kucomfirm data?
Kwa wanaaru na yeyote mwenye uelewa kuhusiana na swala la medical capitation fee inakuwaje kwa wale tunaotumia bima za taifa tunapaswa kuilipia hiyo fee au 2tatumia bima zetu za nhif moja kwa moja? Naomba msaada wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.