Mfuko wa PSPF kabla ya kuunganishwa kwa Mifuko, Mtaafu aliyetumikia miezi 423 alilipwa kiasi cha Shs. 103,228,450 kwa mshahara wa mwaka mzima wa Shs.17,004,000/= Je,kwa Kikokotozi cha mfuko huu wa PSSSF atalipwa kiinua mgongo kiasi gani? naomba anayejua fomula hii anisaidie kujua.
Ninavyo jua mimi Nchi hii inaongozwa kwa Sheria,Kanuni, na Taratibu, nimesikia katika vyombo vya habari kuwa Mkuu wa Wilaya alitoa Amri ya kukatwa kwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo kwa madai kuwa alitumia vibaya kalamu yake kutoa maamuzi yaliyo sababisha shamba la mkulima mmoja kuuzwa, Ninajua...
Ilikuwa jana majira ya jioni,moto ulionekana kuunguza mbuga katika eneo la Jeshi Kikosi cha Ihare nyuma ya Uwanja wa Ndege Jijini Mwanza. Abiria tulishushwa ndani ya Bus na Askari wa Jeshi la Wananchi kwenda kuzima moto. Abiria tuliitikia amri hiyo tukazima moto na kupanda Bus letu. Wakati sasa...
Vijana walio wengi wamejikita katika biashara ya kuendesha Pikipiki ili kuweza kujipatia kipato. Vijana hawa wanafanya kazi hiyo tangu asubuhi hadi usiku kucha.
Dr. naomba kujua; Je, uendeshaji wa Pikipiki kwa muda mrefu pasipo tahadhali ya mavazi rasmi kujikinga baridi na vumbi yaweza kuleta...
Ibara ya 13(4) katiba ya Tanzania marekebisho 1977 inasema kuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kubaguliwa na mtu au mamlaka inayotekeleza madaraka yake chini ya sheria yoyote au katika utekelezaji wa kazi au shughuli yoyote ya mamlaka ya nchi au ya chama na vyombo vyake.
(5) Kwa madhumuni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.