Habari za leo wadau, nilikuwa naomba kujuzwa na mtu ambaye tayari ameshafanya project yoyote ya USSD au anajua mtu atakayeweza kunipa undani wa hili swala.
Ninataka kutengeneza application ambayo nitaweza kuunganisha kwenye backend yangu, backend hyo itakuwa inainteract na ussd kutoka kwa...
Background data inacontrol iwapo application iwapo application itaweza kuruhusiwa kutumia intanet ikiwa background (App inawekwa background endapo haitumiki directly na mtu) kwa hyo ukiweka background data off unazuia tu app zisiweze kupata intanet zikiwa background lakini huzuii uwezo wa app...
Kama unatumia android na umeweka account ya google inasave contacts zako automatically unaeza tumia Sign in - Google Accounts kuzichek, kuhusu sms kama hujabackup sidhani kama znaweza kurudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.