Kila wiki tunalala giza na kushinda bila umeme zaidi ya mara mbili,nadhani hapa kuna shida ya uwajibikaji,pia mnadhalilisha Rais wetu mpendwa kwani ni mtu makini anehitaji ufanisi wa dhati ili kuwaletea wananchi maendeleo. Tunawaomba kama mmeshindwa kazi semeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.