Habarini wana jamvi? Hivi zile nafasi za utendaji wa vijiji zilizotoka mwezi wa kwanza na deadline ilikuwa tar 22 January, bado hawajaita watu kwenye interview au ndo walishaitwa? Mwenye kujua anisaidie tafadhalini!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.