Recent content by agmahaule

  1. A

    Msaada wa kisheria kuugua ukiwa kazini?

    Kama Kuna Kikundi Cha Wafanyakazi Amejiunga Nacho Aende Akaelezee Shida Yake Watamsaidia, ,pia Aweza Kwenda Kufungua Mashtaka Bodi Inaitwa CMA, , Ingekua Vizuri Kama Ungetafta Mwanasheria Mwongee Ana Kwa Ana Usaidiwe Kirahisi Na Kwa Ufanisi
  2. A

    Tunaombeni ushauri

    Kwanza Wewe Unapenda Biashara Gani??
  3. A

    Msaada kuhusu kudhulumiwa mirathi na hawara wa marehemu mume wangu

    Kama Kweli Kesi Imeisha, ,kakate Rufaa, ,maana Kumfungulia Madai Huyo Mdhamini Unapoteza Kesi Ya Msingi
  4. A

    Basi tu sasa ntafanyaje

    wazabaghai1 Lamsingi Mweleze Unapenda Nini Na Upendi Nini, , Lakini Kumbuka Ktk Mahusiano Kila M2 Ananamna Yake Anavyopenda Kumwita Ampendaye, , Pengine Anapenzi La Dhati Na Anaona Mbali, ,kuwa Wewe Ni Mume Na C Mwanaume To Ama Wavulana Wengne NB:galz Lyks 2b With Man Who Call & Take Them As...
  5. A

    Kuna sheria kua ukibadili paa la bati lazima utoe taarifa?

    Ingekua Nyumba Ya Kupanga Kweli Lazima Wamwambie Mwenye Nyumba Marekebisho Yeyote, ,lakini Kwa Swala Hilo Sidhani Kama Wanakesi Yakujibu, , Japo Kua Kila Ujenzi Unatakiwa Uendane Na Kiwango Cha Mahali Husika, , But Wawasikilize Hao Watu Wanawaambia Wanakesi Kwa Kifungu Gani Hasa Cha Sheria Ili...
Back
Top Bottom