Habari naomba ushauri, mimi ni mtoto wa peke wa kike nikiwa na mdogo wangu wa kiume .hatuna wazazi mama alifariki mwaka mmoja uliopita .Tamko likatoka nyumba ipangishwe ili tupate hela ya ada shule , mtoto wa mama angu mkubwa akaomba kuishi ila huku atakua analipa kodi.
Ila alifanya jumba...
Habari wa jf, nina boyfriend wangu nampenda sana ila hua sina mizuka nae sana kitandani , hata akiniomba nahisi kero napenda sana kua nae karibu ila si kitandani.ni fanye nini kuitoa hali hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.