Recent content by Agent Smith

  1. Agent Smith

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Mkuu kumbuka hii ni story ya mwanamke. Hatujasikia ya upande wa mwanaume. Usiwe mwepesi wa kumrushia lawama mwanaume kwa kusikiliza maelezo ya mwanamke pekee yake. Sio kwamba mwanaune hakosei lakini angalao ananyosha maelezo hata kama ana makosa unajua hapa alikosea. Lakini mwanamke mara zote...
  2. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Kama Unataka Kunila Si Useme Tu Usizunguke?

    Ugunduzi wako sio wa kweli.
  3. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Kampuni za simu zimeshindwa Kukopesha Flagship Phones?

    Simu inapelekwa kwa fundi dulla mafekeche pale mwenge. Anafanya mautundu yake simu inapiga kazi fresh tu. Ikishindikana kabisa simu inafunguliwa zinauzwa spare parts zake. Mjini hapa mzee mwenzangu.
  4. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Kampuni za simu zimeshindwa Kukopesha Flagship Phones?

    Mkikopeshwa mnalipa sasa?
  5. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Kampuni za simu zimeshindwa Kukopesha Flagship Phones?

    Sio kweli, hata wasanii wakubwa wa marekani yale mabugati na role royce wanayoendesha ni ya mkopo. Criss brown alivyoona parking ya davido na kuambiwa magali yote davido kanunua kwa cash, criss alishangaa sana.
  6. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mtu mweusi anapitia wakati mgumu sana duniani.

    Kila race ni wabaguzi na hiyo ni asili ya wanyama. Mchukue punda mchanganye kwenye kundi la punda milia halafu angalia kama punda milia watainteract nae kama mwenzao. Waafrika tunalilia kupendwa na kukubalika na race zingine kwa sababu kwenye global stage hatuna cha kujivunia na akili zetu...
  7. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anaaminika Sana Kwa Watu walio Mzunguka Ikulu na Kwa Wananchi na ndio Maana hakuna Uvujaji wa Siri Kwenda Kwa Wanaharakati Na wasaliti

    Siri zenyewe zinazolindwa ndio hizo za kumfanyia fitna Dangote ili wanasiasa wachache waendelee kupiga madili kwenye mishe za kuingiza mafuta. Na mtaji wao mkubwa ni wapumbavu kama wewe
  8. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Tarehe 7/7/2026 kulikuwa na Utulivu sio Amani. Tusitamani hii hali ijirudie tena

    Kwani wewe ulivyowashwa kiboga ulitibiwa kwa dawa gani?
  9. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anaaminika Sana Kwa Watu walio Mzunguka Ikulu na Kwa Wananchi na ndio Maana hakuna Uvujaji wa Siri Kwenda Kwa Wanaharakati Na wasaliti

    Inavyoandika siri za nchi/serikali. Mtu anaweza kufikiri ni project zenye masilahi kwa nchi, kumbe siri zenyewe ni kuficha uozo na madili ya wanasiasa
  10. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Makonda Ndo ameamua kuchagua rais wa kamati ya Olympic Tanzania?

    Kama kwenye lile varangati la MO29 iliwezekana watu milioni 30+ kujitokeza kupiga kura(kwa mujibu wa NEC). Unashangaa kitu kidogo kiasi hicho.
  11. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Ualimu unalipa zaidi kimaslahi kuliko Siasa, ukiwa mwalimu unaenjoy

    Wanasiasa wana kawaida ya kufikiri watu wote hawana akili, na wenye akili ni wao tu.
  12. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Nitajie Kiongozi wa Juu wa Kisiasa Au Tajiri ambaye Kijana wake ni Askari Polisi

    Hakuna cha Mungu wala nini hapa. Tanzania upolisi ni kazi ya waliofeli shule.
  13. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Nitajie Kiongozi wa Juu wa Kisiasa Au Tajiri ambaye Kijana wake ni Askari Polisi

    Unajua tofauti ya polisi na mwanajeshi?
  14. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wananchi hawaitaji vurugu. Kwenye Siasa za chuki na mivutano maendeleo hutoweka

    Wanasiasa wana tabia ya kuona watu wote ni wajinga, na wenye akili ni wao tu.
Back
Top Bottom