Mkuu kumbuka hii ni story ya mwanamke. Hatujasikia ya upande wa mwanaume. Usiwe mwepesi wa kumrushia lawama mwanaume kwa kusikiliza maelezo ya mwanamke pekee yake. Sio kwamba mwanaune hakosei lakini angalao ananyosha maelezo hata kama ana makosa unajua hapa alikosea. Lakini mwanamke mara zote...
Simu inapelekwa kwa fundi dulla mafekeche pale mwenge. Anafanya mautundu yake simu inapiga kazi fresh tu. Ikishindikana kabisa simu inafunguliwa zinauzwa spare parts zake. Mjini hapa mzee mwenzangu.
Sio kweli, hata wasanii wakubwa wa marekani yale mabugati na role royce wanayoendesha ni ya mkopo. Criss brown alivyoona parking ya davido na kuambiwa magali yote davido kanunua kwa cash, criss alishangaa sana.
Kila race ni wabaguzi na hiyo ni asili ya wanyama. Mchukue punda mchanganye kwenye kundi la punda milia halafu angalia kama punda milia watainteract nae kama mwenzao.
Waafrika tunalilia kupendwa na kukubalika na race zingine kwa sababu kwenye global stage hatuna cha kujivunia na akili zetu...
Siri zenyewe zinazolindwa ndio hizo za kumfanyia fitna Dangote ili wanasiasa wachache waendelee kupiga madili kwenye mishe za kuingiza mafuta. Na mtaji wao mkubwa ni wapumbavu kama wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.