Raia wamelishwa propaganda za wanasiasa. Hili suala la kuwa-demonize graduates wanaotafuta kazi na watu waliojariwa ilikua ni mbinu yao kukwepa lawama za kutengeneza uchumi unaozalisha ajira za kutosha. Wenye akili ndogo wameibeba agenda ya wanasiasa kama ilivyo.
Kuna motivesheno spika mmoja...
Kwenye thread yako umewafanya walioajiriwa ni villain kwa maana wanawaonea husda ambao wamejiajiri. Hivi mtu yupo deloitte au bot anakamua mzigo wa maana akuonee gere wewe na duka lako la mangi.!
Wabongo size zetu za viatu kwa wanaume watu wazima wengi tunacheza 40-44. Juu au chini ya hapo wapo wachache.
Pia ukinunua balo hauoni ndani kuna nini kwahiyo utakachokikuta ndio hicho hicho.
Sawa sawa mkuu. Location ni kimara stop over upande wa kutokea ubungo kwenda mbezi. Ukifika kituo cha kimara stop over ni mwendo takribani dakika tatu tu kwa miguu kufika dukani kwetu.
Kwa sasa naona size 45 hamna. Size kubwa zaidi tulizonazo ni 44 kama hizi pichani.
Zitakapopatika size 45...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.