Recent content by Agent Smith

  1. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mkazi wa Mbezi, Dar es salaam. Natafuta kibarua

    Mimi ni kijana wa kiume naishi Mbezi, magari saba. Natafuta kazi yoyote halali inayofundishika.
  2. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Africa tuna viongozi wa ajabu sana. Malawi wamempeleka mtoto wa waziri kushiriki shindano la Miss World, badala ya mshindi halisi wa taji hilo

    Maana yake shindano zima lilitakiwa kubatilishwa na nchi isingepeleka kabisa mwakilishi. Sasa binti wa waziri.! hii kali
  3. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    Kwani anaejimilikishaga mtoto ni nani kama sio nyie wanawake. Na ushaidi wa ilo hauwezi kuona mtoto anakaa na baba halafu ana chuki na mama. Lakini mtoto akikaa na mama lazima aje kuwa na sumu ya chuki kwa baba ake
  4. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania NICOLE JOY BERRY ATOA ONYO KALI: Ni bora niwe Single kuliko kudate na Maskini

    Vipi hao wanaume wenye hela wanamtaka?
  5. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    Co-parenting bongo ni maandalizi ya kupasha kipolo tu. Tusitake kuwaiga wazungu
  6. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Afrika suala la kutoboa ni randomly, sio systematically.
  7. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Into the Badlands: Mapinduzi ya Martial Arts!

    Wameishia season 3. Mwisho wake mbaya kinoma.
  8. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mwenye fursa au information ya kazi yoyote msaada wako unahitajika

    Wanabodi, mimi ni kijana wa kiume wa 20's. Mkazi wa Dar, kwa sasa ninaishi mbezi magari saba. Naomba yoyote mwenye nafasi au information ya kazi msaada wako unahitajika. Kuuza duka, storekeeper, kufanya kazi godown, kazi inayohusu taaluma niliyosemea procurement and logistic management, saidia...
  9. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Baba levo anashusha mansion kwa hela ya kubet. Vipi hii imekaaje.
  10. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Katika nchi ambayo mifumo yake ipo shaghalabaghala kama bongo, kila kitu ni kubet. Kilimo kubet, biashara kubet, elimu kubet.
  11. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Gen Z wachache sana wataweza kuelewa nini kilikuwa kinaendelea hapa

    Ikitengenezwa list ya matepeli mahiri kuwahi kutokea Tanzania yule babu wa loliondo lazima aingie top 5
  12. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Raia wamelishwa propaganda za wanasiasa. Hili suala la kuwa-demonize graduates wanaotafuta kazi na watu waliojariwa ilikua ni mbinu yao kukwepa lawama za kutengeneza uchumi unaozalisha ajira za kutosha. Wenye akili ndogo wameibeba agenda ya wanasiasa kama ilivyo. Kuna motivesheno spika mmoja...
  13. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Kwenye thread yako umewafanya walioajiriwa ni villain kwa maana wanawaonea husda ambao wamejiajiri. Hivi mtu yupo deloitte au bot anakamua mzigo wa maana akuonee gere wewe na duka lako la mangi.!
  14. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Ni kweli wengine hawapo uko. Mfano hiyo tiktok mimi sijui hata display yake ipoje
Back
Top Bottom