Recent content by Agent Smith

  1. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Baba levo anashusha mansion kwa hela ya kubet. Vipi hii imekaaje.
  2. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Katika nchi ambayo mifumo yake ipo shaghalabaghala kama bongo, kila kitu ni kubet. Kilimo kubet, biashara kubet, elimu kubet.
  3. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Gen Z wachache sana wataweza kuelewa nini kilikuwa kinaendelea hapa

    Ikitengenezwa list ya matepeli mahiri kuwahi kutokea Tanzania yule babu wa loliondo lazima aingie top 5
  4. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Raia wamelishwa propaganda za wanasiasa. Hili suala la kuwa-demonize graduates wanaotafuta kazi na watu waliojariwa ilikua ni mbinu yao kukwepa lawama za kutengeneza uchumi unaozalisha ajira za kutosha. Wenye akili ndogo wameibeba agenda ya wanasiasa kama ilivyo. Kuna motivesheno spika mmoja...
  5. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Kwenye thread yako umewafanya walioajiriwa ni villain kwa maana wanawaonea husda ambao wamejiajiri. Hivi mtu yupo deloitte au bot anakamua mzigo wa maana akuonee gere wewe na duka lako la mangi.!
  6. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Ni kweli wengine hawapo uko. Mfano hiyo tiktok mimi sijui hata display yake ipoje
  7. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Kwanini mnapenda kuwademonize walioajiriwa? . Mbona kuna watu wameajiriwa na wanapiga mpunga mrefu zaidi ya waliojiajiri.
  8. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Ni kweli mkuu, nalifanyia kazi hilo suala.
  9. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Wabongo size zetu za viatu kwa wanaume watu wazima wengi tunacheza 40-44. Juu au chini ya hapo wapo wachache. Pia ukinunua balo hauoni ndani kuna nini kwahiyo utakachokikuta ndio hicho hicho.
  10. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Location na mawasiliano nimetaja
  11. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Bado sijaweka bango la jina. But soon nafanyia kazi ilo suala
  12. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Sawa sawa mkuu
  13. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Bei yake ni shilingi elfu 18, lakini tayari kuna mdau kashainyakua fasta. Tunazo size 40 zingine
  14. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Sawa sawa mkuu. Location ni kimara stop over upande wa kutokea ubungo kwenda mbezi. Ukifika kituo cha kimara stop over ni mwendo takribani dakika tatu tu kwa miguu kufika dukani kwetu. Kwa sasa naona size 45 hamna. Size kubwa zaidi tulizonazo ni 44 kama hizi pichani. Zitakapopatika size 45...
Back
Top Bottom