ila wengi wanaume tunafanya pasipo kujua mathara kwa mwanamke huko mbeleni mi nlijua tu ni anaishia kuwashwa na kuhitaji tena....sikujua kama huko baadae atashindwa kuzuia haja..dah😬
Habari wana jf,
Natuamina wote mko poa humu ndan.
Mi nikijana wa miaka 33 sasa nmekua na mahusiano na mdada mmoja wa kichaga from marangu yapata miez karibia 6 sasa, mwanzon mpaka juz tulikua vizuri tu nampenda na yeye kwa upande wake naona anaonyesha upendo na kunijali kwan kila nikimhitaj...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.