Kama angekuwa anakubalika hivyo asingetumia rushwa na wizi kushinda kura za maoni na ubunge. Kumbuka 2015 namna kulivyotokea mtafuruku mkubwa kati yake na mgombea wa UKAWA.. Kumbuka 2020 alivyotoa rushwa waziwazi ili kumshinda Sofia Mjema.. Uchaguzi wa mwaka huu kawakusanya wajumbe nyumbani...
Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi...
Mawakala wote wa Tpesa wameachana nao.yaani ni kama shirika limekufa..nadhani ndio ilikuwa nia yao!Magufuli alishalifufua hili shirika likatishia hadi mashirika mengine ya simu..Mama amekuja kumtoa Waziri Kindamba aliyelifanya shirika lipae akamleta Ulanga,matokeo yake sote tumeyaona!
Kuna huyu mkurugenzi wa mabasi ya mwendokasi mh Waziri Kindamba.. Yule mwamba mikoa yote aliyopita alifanya mabadiliko chanya. Songwe aliipandisha sana kimapato na maendeleo, Tanga chini yake ilishaanza kuja juu. Ajabu katolewa kule na katika sababu alizotoa mama eti jamaa ni mkali.,lakini Chala...
Mimi nimempeleka mgonjwa atibiwe apone.. Sio atibiwe ili afe! Ni kama umepeleka gari kwa fundi likatengenezwe halafu halijapona kisha fundi akudai pesa ya vifaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.