Recent content by agapito

  1. agapito

    JamiiForums Tanzania GE2025 Angella Kizigha ni nani kwenye kampeni za Samia?

    Sio bi chura.. Ni papai
  2. agapito

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zungu awashukuru wajumbe wa Ilala kwa kumpigia kura

    Kama angekuwa anakubalika hivyo asingetumia rushwa na wizi kushinda kura za maoni na ubunge. Kumbuka 2015 namna kulivyotokea mtafuruku mkubwa kati yake na mgombea wa UKAWA.. Kumbuka 2020 alivyotoa rushwa waziwazi ili kumshinda Sofia Mjema.. Uchaguzi wa mwaka huu kawakusanya wajumbe nyumbani...
  3. agapito

    JamiiForums Tanzania Kwanini Jaji Mwanga asikilize kesi anayolalamikiwa? Iko wapi Natural Justice?

    Ikiwezekana ingekuwa ni vyema na haki..
  4. agapito

    JamiiForums Tanzania Kwanini Jaji Mwanga asikilize kesi anayolalamikiwa? Iko wapi Natural Justice?

    Hivi ikitokea Issa Mohamed na Maulida Komu wakatangulia mbele ya haki, kesi itaendelea au itafutwa?
  5. agapito

    JamiiForums Tanzania "Wanawake Wenzako". Hii Ni Kauli Ya Dharau Sana Iliyotolewa Na Luhaga Mpina Kwa Amiri Jeshi Mkuu. Imeniudhi Sana

    Yaani ni mwanamke kama wake zetu nyumbani tu, na wafanyacho wao nayeye anakifanya.. Full stop
  6. agapito

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tazama Luhaga Mpina akiondoka Uwanjani, Meatu baada ya mkutano wa Rais Samia

    Tatizo Whisky kabla ya kuhutubia.
  7. agapito

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema hata akijiunga CCM hawezi kupata nafasi yoyote kwa sababu hana elimu inayoeleweka

    Bi mkubwa ana elimu gani?
  8. agapito

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform No election
  9. agapito

    JamiiForums Tanzania Lissu hana mvuto wa Uwenyekiti

    Kizazi cha 2000+ ndio shida yenu! Msekwa Malecela Mangula Kinana Hawa wote walikuwa makamu wenyeviti, nani kati yao alikuwa na mipasho?
  10. agapito

    JamiiForums Tanzania Viongozi wetu wameiua Geneva ya Afrika.

    Sio jambo la kuombea hilo mkuu.
  11. agapito

    JamiiForums Tanzania Viongozi wetu wameiua Geneva ya Afrika.

    Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi...
  12. agapito

    JamiiForums Tanzania Kwaheri TTCL, kila lenye mwanzo halikosi mwisho

    Mawakala wote wa Tpesa wameachana nao.yaani ni kama shirika limekufa..nadhani ndio ilikuwa nia yao!Magufuli alishalifufua hili shirika likatishia hadi mashirika mengine ya simu..Mama amekuja kumtoa Waziri Kindamba aliyelifanya shirika lipae akamleta Ulanga,matokeo yake sote tumeyaona!
  13. agapito

    JamiiForums Tanzania DSM ngumu, inahitaji RC wa viwango fulani. Nashauri Antony Mtaka aletwe hapa atatusaidia sana, vinginevyo bora hata Makonda arudi

    Kuna huyu mkurugenzi wa mabasi ya mwendokasi mh Waziri Kindamba.. Yule mwamba mikoa yote aliyopita alifanya mabadiliko chanya. Songwe aliipandisha sana kimapato na maendeleo, Tanga chini yake ilishaanza kuja juu. Ajabu katolewa kule na katika sababu alizotoa mama eti jamaa ni mkali.,lakini Chala...
  14. agapito

    JamiiForums Tanzania Mdude analalamikia makundi CHADEMA

    Kama Chalamila ni mkuu wa mkoa basi hata kichaa anayemiliki jalala anaweza kuwa kiongozi nchi hii.
  15. agapito

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

    Mimi nimempeleka mgonjwa atibiwe apone.. Sio atibiwe ili afe! Ni kama umepeleka gari kwa fundi likatengenezwe halafu halijapona kisha fundi akudai pesa ya vifaa!
Back
Top Bottom