Recent content by Afsa Mkuu

  1. A

    MALUMBANO ya HOJA ITV; MIGOGORO ya ndani ya vyama vya siasa, je ni kukua kwa DEMOKRASIA?

    Ccm wanalindana CDM tunawajibisha atutaki mchezo.
  2. A

    MALUMBANO ya HOJA ITV; MIGOGORO ya ndani ya vyama vya siasa, je ni kukua kwa DEMOKRASIA?

    kwani uongo? bila Cdm atutafika mahali. Nchi nyingine tena unauwawa kbs kwa kufanya usaliti.
  3. A

    MALUMBANO ya HOJA ITV; MIGOGORO ya ndani ya vyama vya siasa, je ni kukua kwa DEMOKRASIA?

    Huyu Dem alieongea ss hivi katoka Iramba, lzm ni Ccm. Hajui ata kuongea na hana point yeyote.
  4. A

    Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

    Mbona bangi inatakiwa iuzwe azarani? Kamanda nenda kamanda.
  5. A

    Mbunge mstaafu Derefa (CCM) Afagilia Upinzani Bungeni

    Huyu ni moja ya watu makini apa nchini wanaojua nchi hii inaenda wapi?
  6. A

    BUNGENI: Peter Serukamba(CCM) atukana tusi kali, "F*** you"

    Ingekuwa ni CDM engefungiwa kabisaa!!
  7. A

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    Mpumbavu ni ww! hamna lolote....na bado tutaingia na bukta ili tuwachape kwanza mpaka mshike adabu. Maana amlewi...ss labda kwa mateke mtaelewa.
  8. A

    Bungeni: Lema awataja CCM kama waasisi wa udini nchini

    Ata akitaka kesho watapelekewa ushahidi.
  9. A

    Lissu, Msigwa, Wenje, Kiwia wafungiwa kuhudhuria Vikao vya Bunge!

    Yah! akitukana wa CCM amnashida!
  10. A

    Faida za kupeleka majeshi yetu Congo DRC

    saba riz1 atapata tena usumbufu na biashara zake.
Back
Top Bottom