Mwache afurahie utamu wa cheo kipya, kwani yeye hajui kuwa kuna kudhalilika tena wakirudi mahakamani kwa kesi ile ya mchongo, hapo alipo sasa ana uhakika hataulizwa mambo ya PGO and the like, kile kibano cha akina Kibatala and company si cha kitoto.
Na hapo ndipo walipotumia makolo Kupitia makonda kuihujumu Yanga kwa kudhoofisha kila alichokuwa nacho Yusuph Manji, leo hii ni kinyume chake, wao wako wapi na yanga iko wapi? Mungu Fundi kwelikweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.