Mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani unafanyika Geneva, Uswisi. Mkutano ulianza Oktoba 13 na utatamatika Oktoba 17,2024. Huu ni mkutano wa 149.
Mjadala mkuu katika mkutano huo ni kuhusu "Matumizi ya Sayansi,Teknolojia na Ubunifu Kwa ajili ya mustakabali wa Amani na Uendelevu" (Harnessing...
Januari 1976,huko Ethiopia,Addis Ababa, mkutano maalumu wa wakuu wa nchi za OAU uliitishwa Ili kupata suluhu ya mgogoro mzito na wa kutisha uliotaka kuligawa bara la Afrika vipande vipande.
Mgogoro huo ulikuwa baina ya nchi zilizokuwa zinaiunga mkono serikali ya MPLA chini ya Antonio Agostino...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.