Recent content by africanfromnairobi

  1. A

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nami pia wacha niseme hakuna shida Dar ikiendelea. Dar, Mwanza, Arusha, Kigoma zikiendelea yamaanisha biashara yaongezeka Afrika Mashariki. Na kinyume pia Nairobi, Mombasa, Kisumu, Nakuru zikiendelea pia yamaanisha maendeleo Afrika Mashariki. Twafaa kuelewa kukiwa na 'healthy competition' ni...
  2. A

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Africa's tallest so exciting:cool:
  3. A

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sisemi hakuna shida sisemi waKenya huwa hawaongei Sheng. Lakini kama ulienda shuleni kenya pia lazima ukuwe uliandika insha kiasi. Yamaanisha twaweza ongea Kiswahili sanifu lakini wakati mwingi twachagua kuonyesha kimombo yetu. Nami naona ni too much. Sisi ni waafrika. Nadhani waKenya wengi...
  4. A

    New model of Kenyan made vehicle Mobius to cost Sh1.3m

    Hata mimi nataka kujua kama ni manual au automatic. Nikipata pesa hii mimi nainunua.
  5. A

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kusema ukweli nchi zetu mbili ni nchi zinazofanana kabisa. Sote twaongea Kiswahili isipokuwa kuna tofauti venye wakenya au watanzania hutamka maneno mengine. Hata tukiangalia kwenye DNA watu wetu ni watu ambao wanafanana. Ndio Kenya inauchumi kubwa kiasi kuliko Tanzania lakini nchi zote mbili...
Back
Top Bottom