Recent content by African businesses

  1. African businesses

    Simba SC sasa ina profile kubwa sana Afrika na Duniani

    Kolo kama kolo, robo fainali ya shirikisho tu kombe la kina mama mmecheza na Namungo ya misiri mmekusanya wachawi kama wote ndio mkapita tena kwa mikwaju ya penati, upuuzi mtupu, kwa ufupi simba sio timu ya mpira bali ni kikundi cha wachawi na wanganga wanaogaribu soka la Africa
  2. African businesses

    Simba SC sasa ina profile kubwa sana Afrika na Duniani

    Mnapata wapi ujasiri wa kujiita wakubwa wakati hata kombe la mbuzi hamna, hizo rank sio kitu cha kudumu, pamoja na kuwazidi kwenye rank timu kama Tp mazembe wydad, raja Casablanca na na young African lakini Simba bado ni katoto tena kajinga kwa hizi timu kwani mafanikio ya timu hupimwa kwa...
  3. African businesses

    Huu ukweli wanasimba lazima waambiwe

    Wewe ni mpuuzi hao Al Ahl nao si walifungwa na yanga kwao. Kwanza ni lini mlishawafunga hao Al Ahl bwana kolo
  4. African businesses

    Huu ukweli wanasimba lazima waambiwe

    Ndugu zangu wanasimba kucheza fainali za CAF katika hii generation sio kitu rahisi kama mnavyofikiria hizi zama sio miaka ile ya tisini mliocheza fainali za bonanza la Mashudi Abiola. Wenzenu Yanga walijipanga na walikua na wachezaji kweli, ukiangalia kile kikosi cha yanga kilikua na experience...
  5. African businesses

    Jipatie mashine ya kutengenezea picha

    Nauza mashine ya kutengenezea picha mbao kwa bei kitonga kabisa, mashine bado ni mpya kabisa nicheki uchukue mzigo Bei ni sh 250000 Dar es salam Simu 0617009453
  6. African businesses

    NAUZA VIFAA VYA STUDIO YA KUPIGIA PICHA (PHOTOSHOOT)

    Wadau kama heading inavyojieleza hapo juu nina vifaa vyangu kwa ajili ya kupiga picha indoor na viuza kwa bei kitonga Sana Kuna studio background yenye vitambaa vinne ambavyo ni nyeusi, nyeupe, kijani na kijivu. Soft box mbili, miavuli minne na reflector Taa NNE na fleme zake, pia vitambaa...
  7. African businesses

    WATANZANIA WENZANGU NAOMBENI MSAADA WENU

    Sio banda mzee nina camera, background za kupigiia picha na boom mic
  8. African businesses

    WATANZANIA WENZANGU NAOMBENI MSAADA WENU

    Jamani life limenichapa miezi kadhaa iliyopita nilifunga biashara yangu ya picha, vifaa nikarurdisha nyumbani. Leo nimeamua kuuza vifaa vyangu ili maisha yaendelee Nina camera canon D 550 Studio picture background yenye vitambaa vinne na taaa Na boon mic Panasonic Vyote naitaji laki 9 tu...
  9. African businesses

    Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

    Ni kweli ujiposti status WhatsApp lakini bado una ego hata, hiki ulicho kileta kinaonesha wewe ni mjivuni, ni kama ulikua unataka kutuambia kwamba unamiliki gari na pia wewe ni msomi ungekua sio mtu wa kujionyesha ungekausha hata usingeandika huu uzi
  10. African businesses

    Tunauza picha nzuri kwa ajili ya mapambo ya ofisini na nyumbani

    Tunauza picha nzuri kwa ajili ya kupamba ofisini na majumbani karibuni tuwaudumie Picha hizi chini zina ukubwa wa size A3 Bei ni sh 23000. Contact 017009453 DSM NA MIKOANI TUNATUMA
  11. African businesses

    Dah! Mpira una mambo ya kikatili sana

    Najua mtaumia na wengine mtanitukana, lakini ndugu zangu ukweli lazima usemwe. BRAVO NA CONSTANTINE WANAKWENDA ROBO FAINALI.
  12. African businesses

    Yanga hii ndio Simba ileeeeee ya kwa Mkapa hatoki mtu, mbinu za medani za Simba zimeibwa na Yanga

    Wachawi utawajua tu. Nyie mnajua ni kuwanga tu ndio maana mnashiriki ligi ya wajinga
Back
Top Bottom