Habari wadau!
Mimi ni kijana, nina umri wa miaka 26 ni mhitimu wa shahada kwenye kada ya logistics na usafirishaji mwaka 2019 kutoka chuo cha Taifa cha Usafirishaji.
Nimejaribu kutafuta kazi sehemu mbalimbali imekuwa kipengele kwangu kutokana na connection. Naomba mwenye nafasi sehemu yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.