Africalogic
Member
- Oct 13, 2018
- 6
- 5
Habari wadau!
Mimi ni kijana, nina umri wa miaka 26 ni mhitimu wa shahada kwenye kada ya logistics na usafirishaji mwaka 2019 kutoka chuo cha Taifa cha Usafirishaji.
Nimejaribu kutafuta kazi sehemu mbalimbali imekuwa kipengele kwangu kutokana na connection. Naomba mwenye nafasi sehemu yoyote ama kuna mahali kuna kazi aniunganishe. Kazi yoyote nafanya maana sina matatizo yoyote ya kiafya na sichagui kazi.
Naomba msaada wenu kwa yoyote mwenye nafasi ama connection maana maisha magumu kwangu nipate hata pesa ya kujikimu hapa mjini kwa nimepewa hifadhi na rafiki yangu.
Kwa sasa nipo Dar es salaam maeneo ya Temeke
Wasifu wangu:
Skills
1.Computer literate; Microsoft word,excel, power point, publisher, SAP na Internet.
Knowledge
1.Fleet management
2.Tires management
3.Inventory control
4.Customer service
5.Fuel management
Kwa taarifa zaidi na CV naomba mtu anifuate PM
Mimi ni kijana, nina umri wa miaka 26 ni mhitimu wa shahada kwenye kada ya logistics na usafirishaji mwaka 2019 kutoka chuo cha Taifa cha Usafirishaji.
Nimejaribu kutafuta kazi sehemu mbalimbali imekuwa kipengele kwangu kutokana na connection. Naomba mwenye nafasi sehemu yoyote ama kuna mahali kuna kazi aniunganishe. Kazi yoyote nafanya maana sina matatizo yoyote ya kiafya na sichagui kazi.
Naomba msaada wenu kwa yoyote mwenye nafasi ama connection maana maisha magumu kwangu nipate hata pesa ya kujikimu hapa mjini kwa nimepewa hifadhi na rafiki yangu.
Kwa sasa nipo Dar es salaam maeneo ya Temeke
Wasifu wangu:
Skills
1.Computer literate; Microsoft word,excel, power point, publisher, SAP na Internet.
Knowledge
1.Fleet management
2.Tires management
3.Inventory control
4.Customer service
5.Fuel management
Kwa taarifa zaidi na CV naomba mtu anifuate PM