bila daftari la wapiga kura kuimarishwa ukawa hawana nguvu bungeni wala mtaani ndio maana ccm wanajidai sana.watapiga kura watu milioni tano kupitisha rasimu mbovu mashaka bado yapo.
Ni zaidi ya nusu karne sasa Tanzania ipo ktk ombwe kubwa la kiuongozi. Hatuna viongozi wengine walioonyesha mfano wa kuigwa zaidi ya wazee wetu waasisi wa Taifa hili. Taifa linahitaji msaada wa haraka yamkini badala ya kuangalia makosa ya watawala hawa tunahitaji kulisaidia Taifa kuondokana na...
Hata hivyo chadema bado inamhitaji zito. Lakini katika familia ukiwa na mtoto mmoja anayewalisha sumu wenzake ili awaue na arithi kila kitu yeye hakuna sababu ya kuacha kufanya maamuzi magumu kwa ajili yake. Ama afungwe jela maisha au umfukuzwe ili asiendelee na mkakati wa kuiangamiza familia...
Shivji pamoja na taaluma ya sheria aliyo nayo ana hofiu. Mtu mwenye hofu hawzi kfanya maamuzi yoyote ya kimaendeleo hata kama anaelimu kubwa. Suala la gharama sio tatizo kwa sababu hizi
1. serikali ya muungano haitakua serikali inayoshughulika ma mambo mengi ya nchi washirika wa muungano. Ni...
Mwanaharakati huyu ameanza kudai kuruhusiwa mgombea binafsi muda mrefu sana ila ni kuda wake maana inabidi adai fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo. Kinachinishangaza ni kushindwa kwake kuwa msaada kwa chama chake na taifa kwa ujumla. This is ze comredy.
pamoja na msingi uliowekwa lakini tunahitaji kwanza kujua katiba ya Tanganyika itakuwaje? kwa misingi ya kihistoria ni vema tukatumia jina Tanganiyika kuliko tz bara.
Chadema itaendelea kuwapima na kuwachuja wale wote ambao ni pandikizi la CCM au wenye tamaa na uchu wa madaraka kwa manufaa yao wenyewe. Kauli ya Bw. Matata ni kauli ya mwendawazimu.
Ni hatua muhimu katika kuhakikisha Tanzania inakua na katiba safi. chadema endeleeni na uzalendo huo. Ningewashangaa kama mngekaa kimya na kuwaachia ccm peke yao kuendelea na mchakato huo. Nawatakia kila heri......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.