Recent content by Afisa utumishi1

  1. A

    TANZIA Mwenyekiti wa CCM Tabora Hassan Wakasuvi afariki dunia akiwa ofisini

    Mwenyekiti wa CCM MKOA wa tabora Mzee mwakasubi amefaliki jana akiwa ofisi kwake.Kifo hicho kimetokea jana ambapo alianguka ghafla na kupoteza maisha.Msiba upo nyumbani kwao mabama.Atakumbukwa kwa kwa utendaji wake na uchapakazi wake uliotukuka.Sisi wote ni wa Mungu na kwake tutarejea...
  2. A

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    daaaah tatizo la umeme kumbe limekuwa kubwa zaidi ya tunavyozania umeme mchana kutwa hamna , umerudi saa 1 usiku sasa hivi umekatika maskini samaki zangu zote zimeharibika. sijui ntashika wapi?! hivi magufuli aliwezaje? kila kitu nchii shida Mungu pitisha ufalme wako tuondokane na shida hii...
  3. A

    DOKEZO Mikopo inayotolewa Hazina mkoa wa Tabora bila kutoa rushwa hupati

    mkuu katika mambo yanayouma ni haya! pesa ni ndogo ila huwa inabalansiwa kwa kuangalia wenye vigezo sahihi pia que number sasa yeye ni pesa tuuu
  4. A

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    uyui afisa utumishi anaomba 10% ili afanye mambo
  5. A

    Siku ya nne leo wilaya ya Kaliua hatuna umeme

    wakati mwingine Nchi inahitaji maombi mazito
  6. A

    Siku ya nne leo wilaya ya Kaliua hatuna umeme

    Hatimaye zimefika siku 4 bila ya umeme wilayani Kaliua huku meneja wa wilaya na mkoa mkoa wakitoa tangazo limesababishwa na kuanguka nguzo 10 zilizopo mbugani. Kwanini Serikali na inalea watumishi wazembe hivyo?! Ndio maana miradi mingi ya serikali hufa na hawapati faida na inaendeshwa kwa...
  7. A

    DOKEZO Mikopo inayotolewa Hazina mkoa wa Tabora bila kutoa rushwa hupati

    kuna kitu inatakiwa tufanye mambo yabadilike
Back
Top Bottom