Miaka 5 kivipi bwashee unahisi hatufatilii unaweza ongopa tu unavyojiskia? Mmechukua ubingwa misimu 4 mfululizo 2017/2018,2018/2019,2019/2020, 2020/2021 wa 5 ndio huu 2021/2022 kombe limerudi nyumbani na misimu 3 nyuma 2014/2015,2015/2016,2016/2017, kombe lilikuwa nyumbani tena!
Mm pia nimeshangaa maana Emmanuel Gabriel ni mwengine na Emmanuel Arnold Okwi ni mwengine ila kwa kua mtoa mada ni mjuaji,jeuri na mtu wa matusi ikabidi tu nikaushe!
Umemaliza,tatzo kubwa ni njaa hakuna cha watoto wala nini kwanza mwanamke akiwa vzr kiuchumi anakuwa jeuri humbabaishi anabeba wanae atawalea peke yake ila ramani ikiwa haisomi utampiga umuue hatokiiiii
Hyo kawaida ndugu kwani kipindi Simba inachukua si ilikuwa sababu ya uzembe wa Yanga? So usilete excuse mlikuwa bora mkabeba this time tuko bora tumebeba mambo ya ooh simba ingekuwa siriaz sijui kutodharau mechi ni kutafuta sababu tu msimu huu hamkuwa na timu nakuunga mkono kwamba kimataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.