Recent content by Aepm

  1. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Kusema kwamba mtu hana uwezo wa kufikiri na kuamua bila kukosea kwa sababu hana habari zote ni hoja isiyozingatia akili. Mtu ana habari zote na mtu hana habari zote. Fikiria kwa mfano, habari za fizikia, habari za baiolojia, jiografia, habari za hisabati, kemia, habari za saikolojia, habari...
  2. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Hoja yako inaepuka ukweli au msingi kwamba mtu ana uwezo wa kufikiri ambao unamwezesha kujua na kujua kuamua au kufanya mambo bila kukosea. Na badala yake inajikita kwenye sababu zinazofanya mtu ajuwe kwa kiwango kidogo na asijuwe kwa kiwango kikubwa na au asijuwe kabisa. Na hivyo...
  3. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Katika mambo ambayo nimejifunza kwenye kitabu cha Philosophy of Religion ni kwamba mafundisho ya dini na dini kwa ujumla yanaweza kuwafanya watu wengi kushindwa kutumia uwezo wao wa kufikiri na hivyo kushindwa kujua ukweli na kujua kuamua au kufanya mambo bila kukosea. Hilo linaonekana katika...
  4. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Nakubali kuwa ni muhimu kupata majibu wazi ya maswali yanayojikeza kuhusu Mungu kama kitivo cha hali ya juu ya kufikiri. Hatahivyo, ni muhimu pia tunapotafuta majibu wazi ya maswali hayo kuzingatia ukweli kuwa mtu pia ana uwezo wa kufikiri unaomuezesha kujua na kujua kuamua bila kukosea. Ni...
  5. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Hoja ya Epicurus imefafanuliwa vizuri na Mtakatifu Augostino na Akwinasi katika hoja ya akili na utashi huru. Hatahivyo, hoja hiyo imeangalia jambo moja tu la uovu katika kuhoji uwepo wa Mungu kama Anayejua yote, kama Mwenye uwezo wote, kama Mwenye upendo wote na kama Mwenye maarifa yote...
  6. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Inavyoonekana hujitambui.
  7. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Nini msingi wa mawazo kwamba hakuna Mungu?
  8. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Imani inawahusu wanadamu. Uwepo wa Mungu hautokani na uwepo wa imani. Mungu yupo bila hata ya imani. Bila hata ya binadamu. Bila hata ya wanyama na mimea. Kwa hiyo unaposema hakuna Mungu kwa misingi ya imani ya watu, unatenda kosa dhidi ya uwezo wako wa kufikiri - kuchunguza na kujua kuamua.
  9. A

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Unasema huna imani. Lakini unakubali kuwa hakuna Mungu. Unathibitishaje hilo?
  10. A

    Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

    Huko US ni jamii zipi au zenye asili ya wapi ambazo zinamiliki teknolojia?
  11. A

    Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

    Uhamiaji kwa mataifa ya magharibi na Marekani ni tatizo kubwa sana. Swali la kujiuliza ni jamii ya watu gani wanaohama kwenda kwenye mataifa hayo, na kwanini?
  12. A

    Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

    Hapa duniani tafuta maarifa. Ni jamii gani duniani yenye teknolojia?
  13. A

    Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

    Anaefuatilia mambo ataona makosa yaliofanyika kutokana na kutafisiri biblia kutoka lugha yake ya asili kwenda lugha nyingine. Sababu za makosa hayo ziko wazi. Ukiacha makosa ya kutafisiri pia sio maneno yote yaliyomo katika biblia ni maneno ya Mungu. Mengine ni maneno ya mwandishi mwenyewe...
  14. A

    Kuna uwezakano muumba ulimwengu aliacha kuingilia mambo ya ulimwengu aliouumba?

    Ninyi watu acheni kuwa wapumbavu. Mtu maana yake ni nini?
  15. A

    Ibishie dunia siyo ulimwengu

    Dunia maana yake ni nini? Ulimwengu ni nini? Nini maana ya "Dunia ni mifumo ya wanadamu"? Wanadamu maana yake ni nini?
Back
Top Bottom