Pye.... wewe ukitaka hao member wawepo tangu mwanzo wa jf :
1. Je DP-WORLD ilishakuwa imekuja Tanzania?
2. Kwa uelewa wako mdogo unadhani wale member wa zamani ndio wenye haki ya kuleta na kujadili hoja tuu!
3. Next time unapoanzisha mada tumia akili boya wewe!
Ndugu umeandika kitu ambacho hukijui na pia hata hakikuhusu kabisa. Sisi wacongolese ndio tunajua chimbuko la mgogoro huu ambao hautakaa uishe bila ya maridhiana toka pande zote mbili. Wewe jikite zaidi na mambo yanayokuhusu kuliko kushadadia mambo ya wenyewe
Kwa huku sasa hii benki ya NMB inapoelekea sio kuzuri Uongozi wa huyu mwanamama Ruth Zaipuna umegubikwa na umbea na majungu kupita kiasi hata wanayoyafanya yote haya ni ishara moja kuwa wamechanganyikiwa na kukosa focus.
Hata huyu anayedai kuwa kiwanja ni chake kwa majina ya Paul Christian Makonda sio yeye huyo ni Daudi Albert Bashite aliyefanya kosa kubwa la jinai "inpersonalization"
Samarai!
Acha upumbafu wako wa kujidai unaangalia rangi eti mweusi na mweupe!
Huyo kima makonda alifanya ufedhuli mkubwa sana acha tuu yamkute!
Hawezi hata kuelezea source za utajiri wake na kadri mambo yanapoelekea atazidi kuumbuka tuu!
Pambafu kabisa!
Kawoli!
Kwani weww ni moderator hadi uamue mada ipi ijadiliwe kama unaona haina manufaa yoyote kaa kimya kima wewe!
Huyu nyang'au mwenzako amefanya udhalimu mkubwa sana kwa wengi!
Mjinga kabisa wewe Kawoli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.