Mimi (Jebra Kambole) ni miongoni mwa watu wanaopinga adhabu ya kifo kuwa ya lazima na hivyo kufanya mahakama ishindwe kutoa adhabu mbadala ya kifungo au kumkosesha haki ya kukata Rufaa yule asiyeridhika na adhabu maana haita badilika.
Naamini pia Mungu ndiye katoa uhai na ni yeye pekee...
Sheria ya ndoa ya namba 5 ya mwaka 1971 inatambua ufungaji wa ndoa kwa mila na desturi, kidini na ki serikali lakini sheria inatoa muongoza ambao kila mtu afuate bila kujali Imani yake kwa hiyo mahakama haifuti sheria ya kiislamu inafuta huo muongozo wa sheria ya ndoa na kuweka umri Sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.