Amesema akiapishwa ataangalia sheria ndogondogo jinsi ya kuzifuta kama experience ya kazi ya miaka 5.hivyo mikataba ni lazima kwa mawaziri baada ya kurekebisha sheria.
Magufuli yupo vzr sn kiingereza alikuwa mwl Sengerema sec wa kemia physics na mathematics. harafu inamana mikataba ya barabara imeandikwa kiswahili au.acheni ujinga wenu unajua PhD alisomea wapi (UK,Germany na USA).
Makamba kanibadili gear kura yangu lowasa no.tender zote anampa Dada yake akiingia ikulu gesi si atampa kaka yake duu lowasa hafai majosho yote ya mifugo kajimilikisha. Inauma sana mbora kura yangu nimpe mama anah wa act wazalendo
Huyo mgombea mwenza wa ukawa zero kabisa anaongea kama kingwendu hana hoja porojo tu alifaa agombee udiwani. Yani hapo bora angesimama hamadi rashidi yuko vzr wangemnunua kama duni.
Hivi Mimi nauliza swali watu wa ukawa kwenda na magari tatizo nini inategemea mtu anakaa wapi sasa ulitaka mtu atembee kwa miguu mpaka uwanja .cha msingi magufuri ameongea nini sio watu wamekuja na nini ,harafu hizo picha zote kura maana naona wamevaa kijani tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.